Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wazungu wenyewe wanavaa mawigi na kutumia weaving vizuri tu. Wahindi ndo nywele zao halisi na wafilipino acheni ushamba mu google muelewe sio mihemko na ubahili kwa watu wenu

Usiishi kwa kukariri

Kwani wewe bila Fake hair unaweza kuwa na nywele ndefu kama hao wazungu, wahindi na wafilipino?

Hivyo vitu havina maana, mwanamke anayejielewa wala hawezi kuhangaika nazo, ni wale tu wachache wanaofanya vitu kwa sababu rafiki yake au mtu mwingine kafanya
 
Kwani hao wanawake wanaishi wenyewe kwenye hii sayari?

Mliumbwa kwa ajili yetu ila sisi hatukuumbwa kwa ajili yenu (refer maandiko)

Wewe kama unazivaa ili kuficha mabonde kuinama kichwani kwako kuwa tu wazi usijishtukie

Wewe still una mentality za kimfumo dume tuliubwa kwa ajili yenu mhhhhh I doubt viumbe vyote huishi kwa kutegemeana sio eti wanawake wasifanye yawahusuyo kisa eti wanaume nyie kina nani labda? Hafu maandiko hayatazwi kihivo ka unavotafsiri times has changed a lot.
Mi hata siwezi kuishi atakavyo kiumbe mwingine it's obvious huwa napenda Ku change styles za nywele anayefatilia ya wanawake lazima ana tatizo la kisaikolojia kubwa mno.
 
Usiishi kwa kukariri

Kwani wewe bila Fake hair unaweza kuwa na nywele ndefu kama hao wazungu, wahindi na wafilipino?

Hivyo vitu havina maana, mwanamke anayejielewa wala hawezi kuhangaika nazo, ni wale tu wachache wanaofanya vitu kwa sababu rafiki yake au mtu mwingine kafanya

Sio kukariri the truth to be spoken bila unafiki wowote ule. Mwanamke anayejielewa kumbe una mu classify kwa ua own criteria haya sasa majanga usiki judge kitabu kwa kutazama cover chimbua yaliyomo ndani. Sasa ndo watafanya tu it's genres zinazo muongoza mwanamke ndo mana ukikuta mwanaume anasuka anajiremba ni tukio la ajabu tofauti na wanawake. Ka roho zawauma na maweaving jibadilisheni muwe ka caitlyn Jenner michefuko ikizidi limao lihusike au jiki kabisa
 
Wewe still una mentality za kimfumo dume tuliubwa kwa ajili yenu mhhhhh I doubt viumbe vyote huishi kwa kutegemeana sio eti wanawake wasifanye yawahusuyo kisa eti wanaume nyie kina nani labda? Hafu maandiko hayatazwi kihivo ka unavotafsiri times has changed a lot.
Mi hata siwezi kuishi atakavyo kiumbe mwingine it's obvious huwa napenda Ku change styles za nywele anayefatilia ya wanawake lazima ana tatizo la kisaikolojia kubwa mno.

1 Wakorintho 11:9

Neno litasimama, ya ulimwengu yatapita lakini neno litasimama

Badilisha vyovyote ila ubadilishe style zako bila ku-add Fake Hair, easy as pie
 
1 Wakorintho 11:9

Neno litasimama, ya ulimwengu yatapita lakini neno litasimama

Badilisha vyovyote ila ubadilishe style zako bila ku-add Fake Hair, easy as pie

Hata neno linasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa. Unapotumia neno kwa wrong interpretations hai make sense. Tena unapotumia kifungu kimoja kuhalalisha mtazamo hasi it's wrong.
As long as am comfortable na change tu nikijisikia na vile nchi yetu ni huru since December 1961 hapo mwendo mdundo tu
 
Sio kukariri the truth to be spoken bila unafiki wowote ule. Mwanamke anayejielewa kumbe una mu classify kwa ua own criteria haya sasa majanga usiki judge kitabu kwa kutazama cover chimbua yaliyomo ndani. Sasa ndo watafanya tu it's genres zinazo muongoza mwanamke ndo mana ukikuta mwanaume anasuka anajiremba ni tukio la ajabu tofauti na wanawake. Ka roho zawauma na maweaving jibadilisheni muwe ka caitlyn Jenner michefuko ikizidi limao lihusike au jiki kabisa

Jirembe utakavyo bila nywele bandia. Hilo tu

Other things remain constant (ceteris paribus), kwa upande wa wanaume, mwanamke with natural hair ana mvuto zaidi wa kimapenzi

Yaliyomo ndani ya kitabu yayafunuliwa tu, cover kwanza
 
Hata neno linasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa. Unapotumia neno kwa wrong interpretations hai make sense. Tena unapotumia kifungu kimoja kuhalalisha mtazamo hasi it's wrong.
As long as am comfortable na change tu nikijisikia na vile nchi yetu ni huru since December 1961 hapo mwendo mdundo tu

Hapo hata haina haja ya interpretation, iko wazi sana

Kama tafsiri yangu sio, ya kwako iliyo sahihi iko wapi?

Liberty (freedom to live as you wish) ipo pale pale, ishu hapa ni kwanini uhangaike na vitu visivyokupa credit kwenye suala zima la mvuto
 
Jirembe utakavyo bila nywele bandia. Hilo tu

Other things remain constant (ceteris paribus), kwa upande wa wanaume, mwanamke with natural hair ana mvuto zaidi wa kimapenzi

Yaliyomo ndani ya kitabu yayafunuliwa tu, cover kwanza

Basi wanaume wametofautiana basi mie nitupie chochote ananikubali mno tena na kunisifia kwa sababu ana criteria zake hata ka hapendi hapo ni angetafta hamsini zake tu
 
Basi wanaume wametofautiana basi mie nitupie chochote ananikubali mno tena na kunisifia kwa sababu ana criteria zake hata ka hapendi hapo ni angetafta hamsini zake tu

Anakusifia kukuzuga tu, yaan ile kukwambia kile unachotaka kukisikia wakati kiuhalisia angependa usitupie hayo mavitu

Unakuta honestly hayapendi ila anakufurahisha kwa ku-sacrifice furaha yake, na hapo you are selfish
 
Basi wanaume wametofautiana basi mie nitupie chochote ananikubali mno tena na kunisifia kwa sababu ana criteria zake hata ka hapendi hapo ni angetafta hamsini zake tu

Wewe binti mzuri hivyo wa kichaga kwanini unakuaga mkali hivyo?
 
Hamna chuki yoyote hapa,

Hujui kutofautisha kati ya kupendeza na kuvutia,

Nilivyosema 'general' niliongelea wale wahusika,

Kumpendezesha sio pamoja na kuweka nywele Fake, upo? atapendeza sana tu na nywele zake natural

Imenibidi tu nicheke kwa kweli maana hata sielewi msimamo wako ni upi,

Kama unataka kuwahubiria wanawake wavaa mawigs ni vema ukashusha neno sidhan km kuna angebisha humu sana sana wangekaa kimya na kukubali moyoni,

Ndio mana tangu mwanzo nikakwambia ungeliweka kidini ungekua sahihi ila ww umeliweka kidunia, full kejeli full dhihaka,

Ukitaka kumlingania mtu/kumpa ukumbusho wa kidini sharti usitumie maneno makali wala usimkejeli.

Nimemaliza mie.
 
Imenibidi tu nicheke kwa kweli maana hata sielewi msimamo wako ni upi,

Kama unataka kuwahubiria wanawake wavaa mawigs ni vema ukashusha neno sidhan km kuna angebisha humu sana sana wangekaa kimya na kukubali moyoni,

Ndio mana tangu mwanzo nikakwambia ungeliweka kidini ungekua sahihi ila ww umeliweka kidunia, full kejeli full dhihaka,

Ukitaka kumlingania mtu/kumpa ukumbusho wa kidini sharti usitumie maneno makali wala usimkejeli.

Nimemaliza mie.

Sio kwamba huelewi ila hutaki kuelewa

Naona hutaki kuambiwa uache kutundika hayo mavitu, endelea tu maana hujitambui, unashindwa kuelewa kwa nini wanaume 99% hatuzipendi ilhali we unaona unatokelezea

Hamna cha dhihaka, kejeli wala mtoto wake dhihaka, huo ni ukweli mchungu. Ngumu kumeza.

Kuna wenzako humu wameyahusisha na mapepo, inaonekana ukiambiwa hayo mambo kiimani zaidi ndo unaelewa, so, ukitaka mahubiri kuhusu hivyo vitu kuna maeneo ya ibada mpendwa katika bwana
 
Sio kwamba huelewi ila hutaki kuelewa

Naona hutaki kuambiwa uache kutundika hayo mavitu, endelea tu maana hujitambui, unashindwa kuelewa kwa nini wanaume 99% hatuzipendi ilhali we unaona unatokelezea

Hamna cha dhihaka, kejeli wala mtoto wake dhihaka, huo ni ukweli mchungu. Ngumu kumeza.

Kuna wenzako humu wameyahusisha na mapepo, inaonekana ukiambiwa hayo mambo kiimani zaidi ndo unaelewa, so, ukitaka mahubiri kuhusu hivyo vitu kuna maeneo ya ibada mpendwa katika bwana

Tatizo unatype kwa jazba ndio mana kuna maneno huyaoni,
Calm down first, hahahahaha

Nishakwambia MIMI SIYAVAI, VAZI LANGU NI HIJAB ila siwezi kumsimanga anayeyavaa as long as anajiona yuko huru akivaa wigs.

By the way kila mchungaji achunge Kondoo wake,
Unavyosema yanahusishwa na mapepo tambua pia ukizini ni uchafu na hao mapepo machafu hata wewe yatakuganda.
 
Huwa natia bidii kutafuta mafuta mazuri kupaka kipili pili changu huku kikiwa Safi kimeoshwa daily hapo mambo poa kabisa, hiki kitu cha fake fair no nono
 
Kati ya hoja kubwa zinazoongelea uhalisia hii ni mojawapo.Ahsante mtoa hoja. Tatizo hili wa kulitatua ni wanaume. Tufanye mgomo wa kiume,ukinwona na wigi jifanye humtabui na humtaki hata kama ni mkeo. Kama ni rafiki au mchumba mchunie. Wanadhani wanatuvutia na kwa kuwa hatususi wanadhani ndivyo tunataka wawe.
 
Tatizo unatype kwa jazba ndio mana kuna maneno huyaoni,
Calm down first, hahahahaha

Nishakwambia MIMI SIYAVAI, VAZI LANGU NI HIJAB ila siwezi kumsimanga anayeyavaa as long as anajiona yuko huru akivaa wigs.

By the way kila mchungaji achunge Kondoo wake,
Unavyosema yanahusishwa na mapepo tambua pia ukizini ni uchafu na hao mapepo machafu hata wewe yatakuganda.

Hahaaaaa

So ,wewe huzivai kwa sababu unatumia hijabu au una sababu nyingine

Mi sio expert wa mapepo, kuna wadau ndo walisema mapepo yapo kwenye Fake hair za wanawake

Uchafu upi unaoongelea kwenye kuzini
 
Huwa natia bidii kutafuta mafuta mazuri kupaka kipili pili changu huku kikiwa Safi kimeoshwa daily hapo mambo poa kabisa, hiki kitu cha fake fair no nono

Upo vizuri dada wa kinyaturu
 
Hahaaaaa

So ,wewe huzivai kwa sababu unatumia hijabu au una sababu nyingine

Mi sio expert wa mapepo, kuna wadau ndo walisema mapepo yapo kwenye Fake hair za wanawake

Uchafu upi unaoongelea kwenye kuzini

Imani yangu hainiruhusu sio tu kuvaa mawig bali hata kutembea kichwa wazi,

Sasa fanya hivi ukimuona mwanamke mwenye wig usimsalimie hata akiwa nduguyo, kuonesha msimamo wako.
 
Kati ya hoja kubwa zinazoongelea uhalisia hii ni mojawapo.Ahsante mtoa hoja. Tatizo hili wa kulitatua ni wanaume. Tufanye mgomo wa kiume,ukinwona na wigi jifanye humtabui na humtaki hata kama ni mkeo. Kama ni rafiki au mchumba mchunie. Wanadhani wanatuvutia na kwa kuwa hatususi wanadhani ndivyo tunataka wawe.

Tip of the Day:

Wanaume wanaowanunulia wanawake Fake Hair huku wao hawapendezwi wala kuvutiwa nazo, ni jambo la busara na hekima WAKISITISHA huduma hiyo ili kupata nafasi ya kufurahia mvuto wa asili wa nywele za wanawake
 
Back
Top Bottom