Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Hahaha my kaka buana, kwa nini kusifia wakati roho haipendi teh

Hahaaa najua unauliza hivyo kwa vile hujaiingia ndoani, ungekuwa ndoani wala usingeuliza, so swali lako naliweka kiporo
 
Hilo jicho lako la tatu litakuwa na makengeza, naongelea UHALISIA zaidi

Kama wewe ni mrembo ni mrembo tu, aliyekwambia ukibaki na nywele zako za asili hupendezi ni nani? Hiyo Reception Fake ya kazi gani?

Ukisema wengine hawana nywele nzuri ina maana hawajiamini au wanajishtukia, ila hujui tu, tunawakubali hivyo hivyo, Just Be Yourself, that's all

Hao wazungu unaowazungumzia by nature wana nywele ndefu, nyie mnazo au mpaka wigi?

Sema kujipaka make-up mfano kwenye lips utumie kidogo sio hadi mwanamke unaonekana kama umedumbukiza limdomo kwenye kopo la Coral Paints!!! Hamna mwanaume anayependa kumeza hivo vitu

BTW tunazungumzia Fake Hair in general, bila kujali kama ni wa Posta au Tegeta, Songea au Arusha au Ilemela. everhurt

Ndio mana nakwambia unabisha kitu ambacho huwezi kukibishia,
Swala hili ungelipeleka kwenye msingi wa kidini hapo ungekua sawa kwa asilimia mia moja kama huyo mtu aliyenitag,
Ila ww unalizungumzia kwa chuki zako binafsi,

Hujui hata kutofautisha kati ya "Urembo na Uzuri"

Make up haipakwi mdomoni, mdomoni hupakwa lipstick,

Umekubali maneno yangu kua ww huzungumzii in general ila unamzungumzia mtu mmoja mmoja, maana sio wanawake wote wanaojikandika Makeups usoni, wengn huweka wastani.

Me sivai wigs, nina nywele zangu ndefu na laini na nikitoka huvaa hijab,
Ila bado cwez kumcheka anayevaa wig au kushonea weaving au kusuka rasta coz najua urembo wake upo pale,


Rafiki naomba utambue kila sehemu ya mwili wa mwanamke ni urembo,
So achana na ukoloni, mpendezeshe mkeo/mpenzio.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa najua unauliza hivyo kwa vile hujaiingia ndoani, ungekuwa ndoani wala usingeuliza, so swali lako naliweka kiporo

Teh me haya bana my kaka. Basi anza tu kumsifia kiroho safi
 
Kuna mrembo mmoja kwenya isidingo anasuka barabara ananivutia sana
 
Napenda mwanamke akisuka rasta kuliko manywele artificial,kweli yanakata mizuka sana.Nadhani wanawake wa kiafrica wengi hawajajua jinsi gani wazungu wanapenda nywele za kwetu,mkiwa na nywele asilia zinawaongezea uzuri zaidi ya ma plastics.
 
Wazungu waliliona hili wakaaminisha Dada zetu wapende vyao sasa wanapiga hela
 
Napenda mwanamke akisuka rasta kuliko manywele artificial,kweli yanakata mizuka sana.Nadhani wanawake wa kiafrica wengi hawajajua jinsi gani wazungu wanapenda nywele za kwetu,mkiwa na nywele asilia zinawaongezea uzuri zaidi ya ma plastics.

Kwani rasta ni naturali?
 
natamani wanawake wangekubariana na hili ombi!!! yani weaving zinaturn off lot of guys aargh...
 
Ndio mana nakwambia unabisha kitu ambacho huwezi kukibishia,
Swala hili ungelipeleka kwenye msingi wa kidini hapo ungekua sawa kwa asilimia mia moja kama huyo mtu aliyenitag,
Ila ww unalizungumzia kwa chuki zako binafsi,

Hujui hata kutofautisha kati ya "Urembo na Uzuri"

Make up haipakwi mdomoni, mdomoni hupakwa lipstick,

Umekubali maneno yangu kua ww huzungumzii in general ila unamzungumzia mtu mmoja mmoja, maana sio wanawake wote wanaojikandika Makeups usoni, wengn huweka wastani.

Me sivai wigs, nina nywele zangu ndefu na laini na nikitoka huvaa hijab,
Ila bado cwez kumcheka anayevaa wig au kushonea weaving au kusuka rasta coz najua urembo wake upo pale,


Rafiki naomba utambue kila sehemu ya mwili wa mwanamke ni urembo,
So achana na ukoloni, mpendezeshe mkeo/mpenzio.

Hamna chuki yoyote hapa,

Hujui kutofautisha kati ya kupendeza na kuvutia,

Nilivyosema 'general' niliongelea wale wahusika,

Kumpendezesha sio pamoja na kuweka nywele Fake, upo? atapendeza sana tu na nywele zake natural
 
Huwa napata shida sana kuwaza unawezaje kusimama na kuanza kumshukuru Mungu kwa uumbaji wake halafu kichwani umemkosoa kwa kuweka vitu ambavyo yeye hakukuumba navyo. Unakuta midude migumu kwa ndani mtu kashonwa na nyuzi kichwani yaani kisa fashion halafu ngoja uzi uachie bahati mbaya huwa nacheka sana kwani wengine niko nao ofisini mara ooo naomba nirekebishie

cc: everhurt
 
Last edited by a moderator:
Hilo jicho lako la tatu litakuwa na makengeza, naongelea UHALISIA zaidi

Kama wewe ni mrembo ni mrembo tu, aliyekwambia ukibaki na nywele zako za asili hupendezi ni nani? Hiyo Reception Fake ya kazi gani?

Ukisema wengine hawana nywele nzuri ina maana hawajiamini au wanajishtukia, ila hujui tu, tunawakubali hivyo hivyo, Just Be Yourself, that's all

Hao wazungu unaowazungumzia by nature wana nywele ndefu, nyie mnazo au mpaka wigi?

Sema kujipaka make-up mfano kwenye lips utumie kidogo sio hadi mwanamke unaonekana kama umedumbukiza limdomo kwenye kopo la Coral Paints!!! Hamna mwanaume anayependa kumeza hivo vitu

BTW tunazungumzia Fake Hair in general, bila kujali kama ni wa Posta au Tegeta, Songea au Arusha au Ilemela. everhurt
Hahaha watu mna maneno, eti kudumbukiza mdomo kwenye kopo la coral paints
 
Last edited by a moderator:
Kwa hisani ya wasiojitambua

Sio kutokujitambua maisha ya wanawake hayawahusu wanaume hata ufanyeje weaving zitavaliwa sana,lipstick and every thing concern won't change till the end of the world. Either wajitambue au wasijitambue ndo nature halisi ya uanauke
 
Wazungu waliliona hili wakaaminisha Dada zetu wapende vyao sasa wanapiga hela

Wazungu wenyewe wanavaa mawigi na kutumia weaving vizuri tu. Wahindi ndo nywele zao halisi na wafilipino acheni ushamba mu google muelewe sio mihemko na ubahili kwa watu wenu
 
Sio kutokujitambua maisha ya wanawake hayawahusu wanaume hata ufanyeje weaving zitavaliwa sana,lipstick and every thing concern won't change till the end of the world. Either wajitambue au wasijitambue ndo nature halisi ya uanauke

Kwani hao wanawake wanaishi wenyewe kwenye hii sayari?

Mliumbwa kwa ajili yetu ila sisi hatukuumbwa kwa ajili yenu (refer maandiko)

Wewe kama unazivaa ili kuficha mabonde kuinama kichwani kwako kuwa tu wazi usijishtukie
 
Back
Top Bottom