Nimesema hivi! Huwa siwasikilizi wanaume hasa kwenye masuala ya urembo na kupendeza kwasababu mara nyingi hawaelewi some of our stuffs! Kwahiyo opinions zake zitozijali.
Kuhusu mwanamke mwenzangu it's either nimsikilize or not kwasababu my happiness matters! Nikaconlude hivi mwanamke mwenzangu akinisifia confidence inaongezeka kwakuwa najua amenielewa!
Lengo sio kuwapunguzia self esteem bali ni kuwapa somo kidogo ujue sometimes mnaweza mkawa ata mna mlaumu Mungu kwann hatuolewi. Ushawahi kaa na wanaume ukajua perception zao kwa wanawake wavaa mawigi ukawasikia?
Kama referee Wa mechi hii Kati ya timu mawigi na timu ant-mawigi, zilizokuwa zikiongozwa na sonko Jr na pesandogo, niwatangazie kuwa timu antmawigi wameshinda huku time mawig wakiomba maji,
Hatuachi, huwezi kugharamia kaa pembeni usaidiwe, sio ukidaiwa tu hela ya saloon unakuja kutema povu jf, unalo hilo limekugandaje...
Ungejua zinavyowasitiri wengiUna akili sana na unajitambua
Ungejua zinavyowasitiri wengi
Nitafute unione hapa, liko kama rainbow
Hatuachi, huwezi kugharamia kaa pembeni usaidiwe, sio ukidaiwa tu hela ya saloon unakuja kutema povu jf, unalo hilo limekugandaje...
Vitabu vya Mungu vina kataza kumkosoa Mungu na kuvaa vitu haramu ndio maana miongoni mwa vitu haramu ni Mawigi kwa kigezo cha fashion wanawake wengi wameruhusu mapepo kufanya makao ktk milli yao mfano. Nenda wanakofanya maombezi ktk mikutano utaona Wanawake wengi ndio WENYE MAPEPO tatizo liko hapa ktk mapambo na fashion.
Nimetazama kwa jicho la tatu nimegundua mleta uzi hana strong point isipokua ni ushabiki plus kulipiza kisasi cha vitambi,
Si kila mwanamke akivaa wig hapendezi and vice versa,
Urembo wa mwanamke ni sura na nywele a.k.a reception.
Pia ujue si mwanamke wa africa pekee anayevaa wig, wazungu ndio wanaongoza kwa mawig incase u didnt know,
Swala la nywele ni ishu nyngn kbs c kila mtu anakua na nywele nzuri, so hujitahidi kufanya awezalo apendeze.
Make up ni nzuri kwa anayeipatia, na humbadilisha mwanamke kua ktk muonekano wa tofauti japo kwa muda.
Ulichozungumzia hapa ni mtu mmoja mmoja, yan km ulitembea posta umekutana na mdada kavaa wig hovyo kajipaka make up hovyo usiseme ni wanawake wote. Sonko Jr.