Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Hakuna uhusiano wa hizo principles zenu na kujitambua.
Btw kwanini nijikubali ili iweje halafu nimfurahishe nani? My happiness matters alot! Kuiga uzungu na uhindi kupo tu kwenye nywele za wanawake? Nimekuomba tuache vyote ambavyo si tamaduni zetu, tukishindwa basi kila mtu aendelee kuishi maisha yake.
Nafikiri dunia itakuwa sehemu salama sana ya kuishi kama kila mtu ataishi awezavyo bila kuathiri uhuru wa mwingine!
Hahahha! Hapo kwenye harufu mhhh haiwezi kuwa kweli! Mdada anayejipenda hawezi kutembea na harufu kichwani! Unless huwa unameet watoto wa shule!

Kama hujikubali ni tatizo la fikra zaidi

Sijasema mnaiga wazungu, nimesema mnataka/penda kuwa kama wao, ni vitu viwili tofauti

Mpaka hapa hamna uhuru wa mtu yeyote ulioathiriwa, kuwaambia muache jambo fulani lisilo na maana ni kitendo cha busara wala sio la kuvunja katiba

Wenzako washazungumzia ratiba za kuziosha, wamesema zinafanyiwa usafi baada ya siku kadhaa, hiyo ni kwa wote walio shuleni, chuoni au mtaani.
 
Uwiiiiii!! Vitambi ni janga hujui tu, nawashangaa mnavyovitetea, na bahati nzuri zile hata doctors wanaviongelea, hii ya wigs sijui make ups ishasemwa sana humu jf ujue, nilitegemea mngekuja na mrejesho sasa kuwa mmefanikiwa kwa kiasi gani, maana biashara ndio inapamba moto.

Hahahaaa biashara imepamba moto kidogo sasa! Na hivi tunaelekea Christmas season!
 
Huu mda mngeutumia kuwaelemisha wadogo zenu wanaovaa ch * pi nje, muwaambie bora waache suruali nyumbani tu maana haifichi chup * zao. Na pia mngetumia mda huu kukumbushana kubadili boxaz, maana zinavaliwa kwa mtindo wa pasi ndefu, wiki n.k. mawigi yanasitiri kichwa cha mwanamke, sasa muhamie kuwashauri wanaume wenzenu wajisitiri.
 
Kama huyo uliyenaye kwenye mahusiano anapata confidence ukimsifia wewe it's okay! As for me confidence nakuwa nayo mwenyewe, marafiki wanawake wakinisifia confidence inaongezeka. Vipi inakuumiza sana?

Haliwezi kuniumiza, labda wewe ni Lesbian siwezi jua
 
Kama hujikubali ni tatizo la fikra zaidi

Sijasema mnaiga wazungu, nimesema mnataka/penda kuwa kama wao, ni vitu viwili tofauti

Mpaka hapa hamna uhuru wa mtu yeyote ulioathiriwa, kuwaambia muache jambo fulani lisilo na maana ni kitendo cha busara wala sio la kuvunja katiba

Wenzako washazungumzia ratiba za kuziosha, wamesema zinafanyiwa usafi baada ya siku kadhaa, hiyo ni kwa wote walio shuleni, chuoni au mtaani.

Mie sitaki kusikia hizo unwanted busara zako! Piga hiyo kampeni kushawishi na si kulazimisha, if and only if unaathirika na wigi/makeups za mkeo. Sie wengine tuache kwasababu hujawahi kutugharamia. Nahitimisha kwa kusema hiviiiii NIMEKATAA USHAURI WAKO. (unwanted opinions)
 
Kama hujikubali ni tatizo la fikra zaidi

Sijasema mnaiga wazungu, nimesema mnataka/penda kuwa kama wao, ni vitu viwili tofauti

Mpaka hapa hamna uhuru wa mtu yeyote ulioathiriwa, kuwaambia muache jambo fulani lisilo na maana ni kitendo cha busara wala sio la kuvunja katiba

Wenzako washazungumzia ratiba za kuziosha, wamesema zinafanyiwa usafi baada ya siku kadhaa, hiyo ni kwa wote walio shuleni, chuoni au mtaani.

Unaelewa hata maana ya kujikubali?, sio ninyi mnaouliza habari za vibamia humu?! Ooh vibamia vinaanzia ngapi... tena afadhali na mambo ya nywele mtu anafanya anavyoamua mda wowote, viungo vinavouliziwa havikui hata
 
Ushaonesha ushamba wako muda kweli, nakuangalia tu unavyopanic, hujui hata kama wigi wanavaa na kuvua, unaulizia wanajisikiaje wakichana, uliponichekesha ulipoopoa mdada mwenye wigi asubuhi unakimbia...nilikuuliza, ulidhani ni mzungu hukujibu. Si ulimbeba mwenyewe. Huo ndo ulimbukeni halisi.

Wewe ushachanganyikiwa, mpaka umemsahahu aliyekwambia hivyo!! mtafute yupo humu humu
 
Huu mda mngeutumia kuwaelemisha wadogo zenu wanaovaa ch * pi nje, muwaambie bora waache suruali nyumbani tu maana haifichi chup * zao. Na pia mngetumia mda huu kukumbushana kubadili boxaz, maana zinavaliwa kwa mtindo wa pasi ndefu, wiki n.k. mawigi yanasitiri kichwa cha mwanamke, sasa muhamie kuwashauri wanaume wenzenu wajisitiri.

Yanasitiri mabalaa vichwani kwenu

Wanawake wanaoshushia na kuanika vyupi vyao hujawaona ama?

Kumbuka wigi & weaving nayo yanavaliwa kwa mtindo wa pasi ndefu
 
Wewe ushachanganyikiwa, mpaka umemsahahu aliyekwambia hivyo!! mtafute yupo humu humu

Umeshajisahau kama ulivyosahau iwapo unatoa ushauri au unafanya kampeni.

Acha nikalale zangu mie, ukiniquote tena hutajibiwa nimekupa muda mwingi huna point mpya unazunguka pale pale
 
Mie sitaki kusikia hizo unwanted busara zako! Piga hiyo kampeni kushawishi na si kulazimisha, if and only if unaathirika na wigi/makeups za mkeo. Sie wengine tuache kwasababu hujawahi kutugharamia. Nahitimisha kwa kusema hiviiiii NIMEKATAA USHAURI WAKO. (unwanted opinions)

Kampeni ni 'Say NO to Fake Hair' na mpaka sasa hivi Team Mawigi wamezidiwa wanaomba pooo

Nazungumzia 99.99% unasahau sana kuhusu hilo
 
Wala si-intend kum-offend mtu yeyote, ulionyesha interest sana na jinsia yako ndo maana

Maana yangu haikuwa hivyo unless umeperceive tofauti, nimesema hivi mwanaume ananisifia kwasababu ana pave the way kwaajili ya interest zake. Lakini mwanamke anasifia pale anapokuwa amekipenda au kukikubali kitu, kwahiyo to me nikisifiwa na mwanamke na appreciate zaidi kuliko nikisifiwa na mwanaume!
 
hatuachi ng'oooo asievutiwa ameze tikiti, mwanamke lazima uwe dynamic bwana
 
Unaelewa hata maana ya kujikubali?, sio ninyi mnaouliza habari za vibamia humu?! Ooh vibamia vinaanzia ngapi... tena afadhali na mambo ya nywele mtu anafanya anavyoamua mda wowote, viungo vinavouliziwa havikui hata

Unge-define kwanza neno "kujikubali" kama unavyoelewa wewe ili tuone kama haiendani na nilichokiandika

Wewe si ndo ulisema kuwa mtu wako ana kibamia!! ukaulizwa kinalinganaje ukakimbia
 
Umeshajisahau kama ulivyosahau iwapo unatoa ushauri au unafanya kampeni.

Acha nikalale zangu mie, ukiniquote tena hutajibiwa nimekupa muda mwingi huna point mpya unazunguka pale pale

Narudia tena, hii ni TWO in ONE, kampeni + Ushauri

Na hapo ninapozungukia ndo hupaelewi, nikitokapo ndo hutaelewa kabisa
 
Maana yangu haikuwa hivyo unless umeperceive tofauti, nimesema hivi mwanaume ananisifia kwasababu ana pave the way kwaajili ya interest zake. Lakini mwanamke anasifia pale anapokuwa amekipenda au kukikubali kitu, kwahiyo to me nikisifiwa na mwanamke na appreciate zaidi kuliko nikisifiwa na mwanaume!
Mwanaume ulie naye kwenye mahusiano na unayempenda akikwambia hujapendeza na rafiki yako wa kike akwakwambia umependeza, utachukua lipi?

NB: Kwa mtoko uleule bila ku-change chochote
 
Mwanaume ulie naye kwenye mahusiano na unayempenda akikwambia hujapendeza na rafiki yako wa kike akwakwambia umependeza, utachukua lipi?

NB: Kwa mtoko uleule bila ku-change chochote

Nimesema hivi! Huwa siwasikilizi wanaume hasa kwenye masuala ya urembo na kupendeza kwasababu mara nyingi hawaelewi some of our stuffs! Kwahiyo opinions zake zitozijali.
Kuhusu mwanamke mwenzangu it's either nimsikilize or not kwasababu my happiness matters! Nikaconlude hivi mwanamke mwenzangu akinisifia confidence inaongezeka kwakuwa najua amenielewa!
 
Back
Top Bottom