Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Ah hahahahahah sonko umenivunja mbavu,yaan hawa dada zetu wangejijua kwakweli wasingevaa kabisa,hakuna kitu kinanitiaga hasira kama wife akiniomba hela ya mawigi.

Halafu sasa wigi lenyewe hulipendi wakati yeye anaona anapendeza mwenyewe, kumbe hamna kitu
 
Mawigi yanakera kiukweli kuna siku nilikuwa na demu flani hivi nikaenda kumla uroda alikuwa amevaa wigi wakati na mla uroda ghafla akanogewa akaanza kulia kwa mahaba na mikiki mikiki ya nguvu niliyokuwa na mpa si ndio nikawa na mchezea nywele wakati nafanya mambo yangu hamadi wigi likavuuka akawa ananuka kichwa kizima lile wigi sijui lilivunda i dont know! Kiukweli hadi stim zikakata maana nilihisi dampo la muhimbili limehamia pale lile wigi lilikuwa linanuka hatali.
 
We ndo umepaniki, kuja kulalamikia mawigi ya mwanamke, kama ulikuwa hujui sio mara zote wanawake wanajiremba kwa ajili ya wanaume hiyo ni psychology ya wanawake... They are competitive among themselves.
Hata ningekuwa nimelivaa wewe halikuhusu, hata liwe la kijani teh teh

Sijapendii mawigi kwanza wengi wenu hamjui kuyatunza yanakua na harufu mbaya mpaka kero😳😳😳
 
Mbona unashindwa kujiamini mtoto wa kike? ya nini ujishtukie

That's your imagination if not hallucinations. Hujiamini wewe maana unazunguka zunguka, mara ni kampeni mara ushauri, mara unachukua wadada wenye wig usiku asubuhi unawaogopa! ! Waache wanawake na mambo yao
 
Sijapendii mawigi kwanza wengi wenu hamjui kuyatunza yanakua na harufu mbaya mpaka kero😳😳😳

Kama nilivowaeleza wenzio, kama kavaa mkeo mwambie atoe. Wengine waacheni tu, mnanusa nusa ya nini?!
 
Maybe Ana bichwa Kama tofali ya block muache ajivalie mawigi kwa raha zake😜😜😜

Sijajua mnawashwa wapi wenzenu wakivaa mawigi, hata kichwa kiwe kama nini kila mtu ana haki zake hakuna sheria iliyovunjwa.
Waacheni wanawake wafanye yao
 
Mh hapa watu wanaongeeea, wakati mademu zenu ndio wanaoongoza kuvaa mawigi, tena pesa za saloon mnatoa nyie wenyewe. Kama wig halivutiii msingekuwa mnatutongoza hovyo mtaani hadi inakua kero,,,
 
Sijajua mnawashwa wapi wenzenu wakivaa mawigi, hata kichwa kiwe kama nini kila mtu ana haki zake hakuna sheria iliyovunjwa.
Waacheni wanawake wafanye yao

Mimi demu wangu siwezi kumruhusu kuvaa wigi full stop !
 
Kama nilivowaeleza wenzio, kama kavaa mkeo mwambie atoe. Wengine waacheni tu, mnanusa nusa ya nini?!

Hope PesaNdogo wewe mdau mkubwa wa mawigi ndo maana umesimamia ukucha siredi hii😝😝😝
 
Last edited by a moderator:
Hope PesaNdogo wewe mdau mkubwa wa mawigi ndo maana umesimamia ukucha siredi hii😝😝😝

Mi mdau wa wanawake wengi na wadada ambao hamuishi kuwachambua humu.
Waacheni wanawake wafanye yao, kama mkeo, girlfriend, dada au mama ako mwambie tu hupendi ila wengine wana haki ya kuvaa/kusuka nywele hizo.
 
Last edited by a moderator:
Mi mdau wa wanawake wengi na wadada ambao hamuishi kuwachambua humu.
Waacheni wanawake wafanye yao, kama mkeo, girlfriend, dada au mama ako mwambie tu hupendi ila wengine wana haki ya kuvaa/kusuka nywele hizo.

Jiwe gizani hilo ukisikia kelele??😜😜😜😜
 
Hamna uwezo huo, maana kiukweli sijali kabisa najua mnataka kuwapunguzia wanawake self esteem humu.

Lengo sio kuwapunguzia self esteem bali ni kuwapa somo kidogo ujue sometimes mnaweza mkawa ata mna mlaumu Mungu kwann hatuolewi. Ushawahi kaa na wanaume ukajua perception zao kwa wanawake wavaa mawigi ukawasikia?
 
Back
Top Bottom