sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
mkuu unaikumbuka ile kitu uliyoniuliza kwamba huyu ni mtu mzima au? Sasa kwa ile Sura ukivaa na Wigi utaonekana kama nini?
kama fulani ingawa anavaa lakini akigeuka bado liko pale pale, Ukichanganya kuungana kwa Mgongo na Makalio, ongeza na Kandambili kifuani hakika unaweza kudhani ni mpoki katika maigizo.. Harafu eti mimi mzuri, mzuri wakati kichwani umeficha mapunyepunye
Ha haa mkuuu...itakuwa komed kwakweli