Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Mimi ni mwanamke but nimejikubali usichana wangu mpaka naolewa hayo makitu siyapendi huwa napata shida kufikiri joto la Dar na hayo makitu kichwani, kwa joto hili napenda nilifika home nywele yangu maji yapite nipate kujisikia raha na mume wangu huwa ana enjoy kushika nywele zangu
Nawajua wadada wa hivyo, wako kibao. Wengine wanatafuta kiki kwenye majadiliano.
Yeye hapendi, wanaweka hawamhusu
njija , kuna ukweli wowote kuhusu analosema PesaNdogo ?
 
Last edited by a moderator:
Naomba tuwe wakweli kabisa ķwa joto la Dar na jinsi watu tulivyo busy na maisha, muda ni mdogo sana, sana sana mtu ataenda weekend kusafisha wigi lake hebu tujadili mijasho ya siku mfano 3 tuu huko kichwani kweli kaharufu kana kwepeka?
 
Kuna siku nilicheka sana nilimwona binti mmoja alikuwa amevaa hayo makitu iko kama kofia flani ss alikuwa ktk piki piki amepakiwa na kofia ya usalama amevaa, sasa wakt anavua yale makitu yakavulika hiyo mibutu sasa kichwani ilikuwa ni shidaaa.

Hahaa haah hatari

Kumbe Team Mawigi huwa wanakutana na majanga sehemu kibao, hadi barabarani !!

Balaaa nusura Mkosi
 
njija , kuna ukweli wowote kuhusu analosema PesaNdogo ?

Huo ni mtazamo wake siwezi mlazimisha kila mtu akawa na mtazamo kama wangu but mimi kukaa hata siku mbili na mijasho ya Dar siwezi hapa ntaambiwa mambo ya fashion ila kwa fashion hii nilikwisha kubali inipite.
 
Last edited by a moderator:
We ndo umepaniki, kuja kulalamikia mawigi ya mwanamke, kama ulikuwa hujui sio mara zote wanawake wanajiremba kwa ajili ya wanaume hiyo ni psychology ya wanawake... They are competitive among themselves.
Hata ningekuwa nimelivaa wewe halikuhusu, hata liwe la kijani teh teh

I wish wanaume wangeelewa kuwa sio wanawake wote wanafanya mambo kwa ajili yao. Mfano huwa tunaenda kwenye kitchen party. Je huwa tunajiremba for what! Somethings are intended only for women domain! (Japo sikatai kuwa kuna wengine wanafanya kwa ajili ya wanaume)
Tuachane tu kila mtu aishi maisha ayatakayo ikiwa hajavunja sheria.
Nafikiri mleta mada asitulazimishe kuacha tuyafanyayo, bali aombe tufanye kwa kiasi na professionally, mtu umepaka make up yako kwa proffesinal makeup artist, umetengeneza nywele nzuri, unakuwa smart and confident. Basi tu tatizo labda yale mawigi ya uswazi na makeup za uswazi, lakini pia mhusika akiwa sio mkeo kwanini ujali?
 
Huo ni mtazamo wake siwezi mlazimisha kila mtu akawa na mtazamo kama wangu but mimi kukaa hata siku mbili na mijasho ya Dar siwezi hapa ntaambiwa mambo ya fashion ila kwa fashion hii nilikwisha kubali inipite.

Fashion wapi? Kuna mabalaa wanaficha vichwani

Wengine usafi kwao ni shidaaa
 
Naomba tuwe wakweli kabisa ķwa joto la Dar na jinsi watu tulivyo busy na maisha, muda ni mdogo sana, sana sana mtu ataenda weekend kusafisha wigi lake hebu tujadili mijasho ya siku mfano 3 tuu huko kichwani kweli kaharufu kana kwepeka?

Hawaelewi hiyo kitu, wao ni mawigi kwa kwenda mbele
 
Naomba tuwe wakweli kabisa ķwa joto la Dar na jinsi watu tulivyo busy na maisha, muda ni mdogo sana, sana sana mtu ataenda weekend kusafisha wigi lake hebu tujadili mijasho ya siku mfano 3 tuu huko kichwani kweli kaharufu kana kwepeka?

unakuta mtu analijali Wig na kulifanyia usafi kuliko hata anavyoitunza papuchi yake...
 
I wish wanaume wangeelewa kuwa sio wanawake wote wanafanya mambo kwa ajili yao. Mfano huwa tunaenda kwenye kitchen party. Je huwa tunajiremba for what! Somethings are intended only for women domains! (Japo sikatai kuwa kuna wengine wanafanya kwa ajili ya wanaume)
Tuachane tu kila mtu aishi maisha ayatakayo ikiwa hajavunja sheria.
Nafikiri mleta mada asitulazimishe kuacha tuyafanyayo, bali aombe tufanye kwa kiasi na professionally, mtu umepaka make up yako kwa proffesinal makeup artist, umetengeneza nywele nzuri, unakuwa smart and confident. Basi tu tatizo labda yale mawigi ya uswazi na makeup za uswazi, lakini pia mhusika akiwa sio mkeo kwanini ujali?

Team Mawigi inabidi muelewe kuwa wanaume 99.99% hatupendi na hatuvutiwi na Fake Hair.

Wanawake wakifanya kila wanaloweza kufanya na nywele zao za asili wanapendeza na kuvutia zaidi, Full Stop
 
Team Mawigi inabidi muelewe kuwa wanaume 99.99% hatupendi na hatuvutiwi na Fake Hair.

Wanawake wakifanya kila wanaloweza kufanya na nywele zao za asili wanapendeza na kuvutia zaidi.

Nami nasema hivi, hata msiyapende, kuna baadhi yetu hatufanyi kwa ajili yenu, kuna wanawake wengi sana wako local (natural) go and opt for them. Yanini kujipa pressure kwa vitu visivyokuhusu?
 
Teh teh..Yani sometimes unakuta msichana anageuka kuangalia upande mwingine ila wig limebaki straight tu..halijafwata direction ya kichwa...

Mkuu umeua..... Yani nimecheka sanaaa
 
Back
Top Bottom