PesaNdogo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 1,994
- 1,293
Lengo sio kuwapunguzia self esteem bali ni kuwapa somo kidogo ujue sometimes mnaweza mkawa ata mna mlaumu Mungu kwann hatuolewi. Ushawahi kaa na wanaume ukajua perception zao kwa wanawake wavaa mawigi ukawasikia?
Kama mwanaume hana nia ya kumuoa mtu hata utoe wigi hakuoi, usitudanganye hapa. Hao wanaume wengi mbona wanawaacha dada zao wavae/wasuke ni kwamba hawataki dada zao waolewe! ! Nadhani muanze kuwashauri mnao onana nao, huku mtandaoni hatujali.