Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Sasa wewe wigi la nini wakati nywele zako tuu ni wigi tosha? Hivi luv bibi yako anaasili ya Asia? Au..

Hapo sasa....nywele yenyew utazani wigi nimevaaa... ha ha ha sisi ni shombe shombe
 
Para liko poa
 

Attachments

  • 1448251033714.jpg
    1448251033714.jpg
    16.3 KB · Views: 206
Khaa we noma unazichezea mpk zinanyofoka,i cant u


Hapana sio hivyo unavyodhani, si unajua haziwezi kushikamana na nywele zako kwa 100%!

hafu siwezi 'kuyachezea' kihivyo nikishajua ni nywele Fekero
 
Na mawigi hutokana na nywele za watu waliokufa.....
 
Ukiona mwanamke anatupia sana vitu "artificial" mwilini mwake basi huyo hajiamini na muonekano wake.
"Be natural Dada", mi binafsi napenda sana mwanamke akiwa na nywele zake za asili,,Mtoto kama Flaviana Matata,Lupita Nyong'o wanaonekana bomba tu tena sana kwa kubaki na nywele zao za asili. wanaume wengi hatupendi mawigi labda wawe wanavaa ili waonekane kupendeza kwa wanawake wenzao lakini kama mwanamke unavaa ili et uvutue na uonekane wa kisasa kwa mwanamme hapana haitendi kazi! Nashauri tuanzishe OTM-Operation Tokomeza Mawigi na Kampeni ya "Be Natural,Say No to Fake Hair". Hii itahusisha kuprint T-shirts,kofia,vipeperushi na ikiwezekana hata kwenye billboard ili kusambaza ujumbe huo.
#Kuvaa wigi ni kutoziamini nywele zako!
 
Na mawigi hutokana na nywele za watu waliokufa.....

We boflo dawa yako chai, nani kakwambia huo uongo? Zinanunuliwa huko kwa wahindi, wapo watu wanafuga nywele kwa ajili ya kukata na kuuza pia zingine watu wamezitoa sadaka kwenye mahekalu yao na kuwa vipara kama monks na hayo mahekalu yanauzia makampuni nywele hizo zinakuwa processed kutiwa rangi n.k
 
Mkuu hapana, mimi ukiwa na wigi tuu umesha disqualify...
Napenda asili

Kwa hio mtoto idara zote mashallah...neema za Allah nazo kajaaliwa unampiga chini kwasababu kavaa wig? mi nitavumilia halafu nitamshauri abadili style ya nywele baadae.
 
Kwa hio mtoto idara zote mashallah...neema za Allah nazo kajaaliwa unampiga chini kwasababu kavaa wig? mi nitavumilia halafu nitamshauri abadili style ya nywele baadae.

Wanaogopa kupata pumu wenzio
 
Ligi inaendelea, mechi ni kati ya wanawake wenye mawigi vs wanaume wenye vitambi hadi tunaenda break matokeo ilikua ni bila bila..... Tupate tangazo kutoka kwa wadhamini kisha tutakupeleka moja kwa moja kwenye kipindi cha pili :spy:
 
Ligi inaendelea, mechi ni kati ya wanawake wenye mawigi vs wanaume wenye vitambi hadi tunaenda break matokeo ilikua ni bila bila..... Tupate tangazo kutoka kwa wadhamini kisha tutakupeleka moja kwa moja kwenye kipindi cha pili :spy:

Mshakula kama vinne hivi...bila majibu....wanawake wenye hips za tumbo na mawigi ya nik minaji...
Te teh..i wish nkuone evelyn na lile wigi lako la kipind kileee
 
Kwa hio mtoto idara zote mashallah...neema za Allah nazo kajaaliwa unampiga chini kwasababu kavaa wig? mi nitavumilia halafu nitamshauri abadili style ya nywele baadae.

Mkuu hao wanawake huwa wana necha ya ubishi mnoo, ukijaribu kuwa ambia waachane na wig utasababisha world war 3....
 
Mshakula kama vinne hivi...bila majibu....wanawake wenye hips za tumbo na mawigi ya nik minaji...
Te teh..i wish nkuone evelyn na lile wigi lako la kipind kileee

kama fulani ingawa anavaa lakini akigeuka bado liko pale pale, Ukichanganya kuungana kwa Mgongo na Makalio, ongeza na Kandambili kifuani hakika unaweza kudhani ni mpoki katika maigizo.. Harafu eti mimi mzuri, mzuri wakati kichwani umeficha mapunyepunye
 
Mkuu hapana, mimi ukiwa na wigi tuu umesha disqualify...
Napenda asili

mkuu unaikumbuka ile kitu uliyoniuliza kwamba huyu ni mtu mzima au? Sasa kwa ile Sura ukivaa na Wigi utaonekana kama nini?
 
Back
Top Bottom