Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

Uache sasa...jamaaa katoa tamko. Vipi shem wangu hajawahi kumaind...
maana bro Kaboom kasema unaeza shika kichwa ukakutana na mabonde, na mteremko

Shem wako ndo alinipendea hayo hayo, so hana noma
 
Last edited by a moderator:
Litanukaje si maduka yangekuwa yananuka😩😕? Jasho la kichwani kutokana na mhusika kukaa na msuko huo mda mrefu hata kichwani kuna jasho... suala la kuweka nywele bandia na usafi wa kichwa ni hoja mbili tofauti.

Maduka yatanukaje wakati zikiwa dukani zinakuwa hazijatumika?
 
mawigi ni mavuzi ya majini.angalie nabii hebron na isaya u tube
 
Hahaaaaa kumbe unajadili usichokifahamu!
Waiiiii kwa heri.

Kinachojadiliwa nadhani kinaeleweka

Wigi kunuka kwa wengi wenu ni FACT

Masharti ya kuyaosha unajua wewe, hata hivyo hilo haliondoi u-fake wake
 
Wig/weaving zinaosheka labda za bei chee ndo material itagoma. Hata wanaosuka natural hawaoshi si wa mawigi tu
Kuoshwa au kutokuoshwa hakuondoi ubandia uliopo, zinuke zisinuke ubandia upo pale pale
 
Back
Top Bottom