winlicious
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,009
- 1,156
ntavaa tu sion shida tena Leo nimenunua wigi jipyaaaaa kwa raha zanguKama lengo lako ni kuficha watu wasione, ikitokea ukaungua uso utaanza kuvaa hijabu kila mda?
ntavaa tu sion shida tena Leo nimenunua wigi jipyaaaaa kwa raha zanguKama lengo lako ni kuficha watu wasione, ikitokea ukaungua uso utaanza kuvaa hijabu kila mda?
ntavaa tu sion shida tena Leo nimenunua wigi jipyaaaaa kwa raha zangu
Linda au bae?
Wewe binafsi sababu yako ya kuvaa/kushonea wigi ni ipi?
Linda au bae?
Pesa ndogo naomba unielewe huwa cwafuati tunakuwanao ktk magari ,maofisini hata kupishana nao wakuwa na unpleasant smell cjui nimafuta wanapaka yanaitwaje vile?team natural from hair to dark skin.
Kaka ushaexperience haya mambo?...Teh teh..Unachezea nywele unakutana na milima,mabonde na mibinuko isiyoeleweka..Hadi stimu zinakata
My dada, mtumishi hivi wigi lako lile zuri zuri bado lipo?Hahaha tumehamia huku, basi sawa. atoto ukuje hapa.
Kaka ushaexperience haya mambo?...
My dada, mtumishi hivi wigi lako lile zuri zuri bado lipo?
Linda my dear
Sio uchafu binafsi, wigi linatema lenyewe maana tofauti na nywele za kawaida lenyewe haliruhusiwi kugusa maji