Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Hapa nilipo napikiwa chai inaletwa chumbani , lunch mwanaume wangu Anatoka kazini ananiletea chakula anafua ,ananiogesha,Anaosha gari yaani allowance 1000 dollar kwa week .mimi sikufichi kazi yangu shopping makeup gym na palate na ku make love kwa mme wangu nakuwapenda wanangu.nafanya kazi kwa sababu nataka
hahahahahaha haya bana........huyo atakuwa mwanaume limbwata