gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Ukiwa na mawazo kama hayo utakuwa lege lege...hutakuwa malengo makubwa kwenye maisha,,,
Kama wanaume wanaweza kupata position kubwa na sisi tunalalamika kukandamizwa kijinsia...mwanamke anayehitaji ela ya kujirembea tu... u CEO wa nini???? Tuwaache wenye majukumu makubwa wapewe vyeo vikubwa au???
Mimi mume wangu hata atimuliwe kazi niko tayari kuhudumia familia kwa roho nyeupe...kwani natafuta ela ya nini...kuhudumia familia hakunizuii kujiremba kwani mimi sijitofautishi na wanaume popote nilipo...I am proud to be a responsible wife.
hivi nyumba kubwa haya ni maigizo tu mwache awadoboleshee wenzie baada ya kutendwa na wabongo akaenda kwa wadosi huko. yeye ana enjoy kupelekewa chai kwa b/rum mm na enjoy zaid nikimpeekea unaona enh!
mm am very free kujihudumia with my own money sihitaj kulelewa hata kidogo and am confident kwamba i can manage my life hata kama akikosa kipato leo.
Last edited by a moderator: