Solarpanel
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 235
- 38
Hapa nilipo napikiwa chai inaletwa chumbani , lunch mwanaume wangu Anatoka kazini ananiletea chakula anafua ,ananiogesha,Anaosha gari yaani allowance 1000 dollar kwa week .mimi sikufichi kazi yangu shopping makeup gym na palate na ku make love kwa mme wangu nakuwapenda wanangu.nafanya kazi kwa sababu nataka
ni kwa sababu anazo,angekuwa hana? Au cku akija kuzikosa?...ahaa jbu ni unamwacha na watoto wake waenda tafuta mwingine sio?