bora ulivomuambiaNa wewe yanini ulitega sikio, huoni kama kosa.
"Wanaume wote ni nyoka... wanatofautiana rangi,urefu,upana,vichwa...."
Nilikuwa sehemu fulani nimetega sikio nikawasikia wakitusema......
Wana maana gani????????
View attachment 54192
Wanaume wote ni nyoka au wanaume wote wana nyoka??
Wanaume wote ni nyoka au wanaume wote wana nyoka??
kwa hiyo wanaume ni kizazi cha nyoka?
Elisha Ray mkuu naona nimekugusa sana...According to Boflo wanaume ni nyoka sasa nyoka hawezi zaa panya au kuku atatoa nyoka tu. kwa kuwa wanaume ni baba zake basi nae ni uzao wao yani nae ni nyoka....