Alama ya nyoka kwenye noti za mataifa huashiria nini?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,546
2,989
Nimesoma bibilia ya agano la kale mwanzo:2:15 mungu anamlaani nyoka kwa matendo yake na alijua kuwa ni mwerevu kuliko wanyama wote hivyo naweza kuchukulia maana hyo kwenye kutambua alama ya nyoka kuwa ni mdudu mwenye sumu kali na ukitaka kumuua tafuta kichwa.

Je swali langu nyuka amepewa sifa mbaya na vitabu vya dini na huashiria kitu gani kwenye mataifa kupitia noti?
 
Nimesoma bibilia ya agano la kale mwanzo:2:15 mungu anamlaani nyoka kwa matendo yake na alijua kuwa ni mwerevu kuliko wanyama wote hivyo naweza kuchukulia maana hyo kwenye kutambua alama ya nyoka kuwa ni mdudu mwenye sumu kali na ukitaka kumuua tafuta kichwa..je swali langu nyuka amepewa sifa mbaya na vitabu vya dini na huashiria kitu gani kwenye mataifa kupitia noti?
Usidhani sisi ni hamnazo.
Weka hoja na ushahidi kuithibitisha. Kinyume cha hapo ni umbea na ujuha
 
CHOCHOTE CHENYE MWILI KIMEUMBWA NA YESU KRISTO HAKINA SHIDA YOYOTE... IWE BUNDI,NYOKA,POPO,KAKAKUONA NK

NI WAOVU TU HUTUMIA BAADHI YA WANYAMA NA KUCHAFUA TASWIRA YA HAO WANYAMA HAKUNA MNYAMA ALIE MBAYA KWA HIYO HATA AKIWEKWA KWENYE NOTI HANA UBAYA

Umeelewa ustaadh
 
Wanasema ni alama ya tiba, nyoka wa shaba aliyeinuliwa na waisrael ili mwenye shida akimuangalia apone
 
Back
Top Bottom