Sisi Wanaume Tunapaswa Kua Vichwa Vya Familia Zetu ... Tunapaswa Kuwaongoza wake zetu ...
Wanaume wa humu wanaomba ushauri wamekua soft sana wanaomba ushauri mambo ambayo walitakiwa wawe wanauwezo wa kuyatatua kabisa ...
Sijui wanaume wa siku hizi tunalelewa vipi ??
Tambueni sio kila mwanamke anafundishwa adabu kwao .. Na sio kila anaefundishwa adabu anaweza kuendelea kukuheshimu hata kama usipo kua strong kuisimamia familia ..
Tatizo la nguvu la kiume linaongeza, na pia kulia lia kwenye mitandao ya kijamii pia kunaongezea .. Tunaelekea wapi Jamani...
Step Up Then muongoze mkeo kua LEADER .. Pata Heshima Yako Kwa mkeo kwakua una deserve it sio kwakua wewe ndio umeoa, vimitihani vidogo vidogo mnavyohangaika navyo humu kuomba ushauri unatakiwa uviweze kutatua.
Wanawake hua wana mambo mengi mno vichwani mwao na ni wasumbufu sometimes kama usipo kua strong wewe mtoto wa kiume utaharibu familia yako ...
Punguzeni Kulia lia Jamani..
Wanaume wa humu wanaomba ushauri wamekua soft sana wanaomba ushauri mambo ambayo walitakiwa wawe wanauwezo wa kuyatatua kabisa ...
Sijui wanaume wa siku hizi tunalelewa vipi ??
Tambueni sio kila mwanamke anafundishwa adabu kwao .. Na sio kila anaefundishwa adabu anaweza kuendelea kukuheshimu hata kama usipo kua strong kuisimamia familia ..
Tatizo la nguvu la kiume linaongeza, na pia kulia lia kwenye mitandao ya kijamii pia kunaongezea .. Tunaelekea wapi Jamani...
Step Up Then muongoze mkeo kua LEADER .. Pata Heshima Yako Kwa mkeo kwakua una deserve it sio kwakua wewe ndio umeoa, vimitihani vidogo vidogo mnavyohangaika navyo humu kuomba ushauri unatakiwa uviweze kutatua.
Wanawake hua wana mambo mengi mno vichwani mwao na ni wasumbufu sometimes kama usipo kua strong wewe mtoto wa kiume utaharibu familia yako ...
Punguzeni Kulia lia Jamani..