Asalam aleykum
Wakati tunaendelea kujikinga na ugonjwa wa Covid-19. Naomba kutoa maoni yangu. Uyachukue au uyaache lakini ukweli u-prevail.
Kihistoria ya human evolution toka maisha ya enzi yaani early stone age , middle stone age na late stone/ iron age binadamu akipitia ktk hatua mbali mbali za maendeleo Mwanaume amekuwa na wajibu ufuatao ktk familia na ktk jamii.
1. Kuilinda familia na jamii dhidi ya maadui yaani wamyama wakali na binadamu wabaya.
2. Kuhakikisha familia inapata mahitaji muhimu kama malazi, chakula na mavazi.
3. Kumtunza, kumkanya, kumuadadabisha na kumfundisha mke adabu njema. Watoto wawe na heshima n.k.
4. Kudumisha upendo, umoja na mshikamano ndani na nje ya familia.
Wajibu hizi ndizo zinazomtofautisha mwanaume na mwanamke kutoka enzi hizo hadi leo nyakati hizi za utandawazi na maendeleo makubwa ya kijamii, sayansi na teknolojia.
Hata leo hata ukiwa muuza mkaa na mkeo ni mwalimu bado atahitaji vipesa vyako vya kuunga unga umunulie nguo na kutoa matumizi ya familia. Tusalamike kuwa wanawake ni wabinafsi ndivyo nature ilivyo na ndio wajibu wetu. Kumbuka concept ya Alpha Male.
Sasa mambo ya ajabu ya leo kwa mwanaume na naomba abadilike ili tuendeleze heshima yetu wanaume kwenye familia na jamii.
1. Inakuwaje mwanaume unaoa mke na unamwacha?? Yaani mke uliyemtongoza mwenyewe ukiwa na hisia kali za kimapenzi inafika mahali unasema sasa basi?? Kweli?? Nini kinatokea ambacho kinakushinda ku-control??
2. Umezaa na mtoto wa kike uliyemfata kumtongoza na kumgegeda kwa raha mstarehe leo anapata mimba unaanza visingizio mpaka unatelekeza uzao wako??
3. Mwanaume wa leo una roho gani hadi huna upendo? Unaanza vipi kukaa mbali na mwanao/ wanao uliowazaa?? Mnajua kuwa sisi tunapaswa kuwa na huruma kuliko wanawake??
Wanaume tubadilike. Tuwe na tabia za kiume. Kutelekeza familia kwa visingizio vinafanya wanawake sasa wanatupanda vichwani tusiruhusu hili. Tulinde heshima.yetu.
Karibu kuchangia mambo mengine ya ajabu na toa suruhisho cha kufanya tuokoe familia tuendeleze upendo.
Wakati tunaendelea kujikinga na ugonjwa wa Covid-19. Naomba kutoa maoni yangu. Uyachukue au uyaache lakini ukweli u-prevail.
Kihistoria ya human evolution toka maisha ya enzi yaani early stone age , middle stone age na late stone/ iron age binadamu akipitia ktk hatua mbali mbali za maendeleo Mwanaume amekuwa na wajibu ufuatao ktk familia na ktk jamii.
1. Kuilinda familia na jamii dhidi ya maadui yaani wamyama wakali na binadamu wabaya.
2. Kuhakikisha familia inapata mahitaji muhimu kama malazi, chakula na mavazi.
3. Kumtunza, kumkanya, kumuadadabisha na kumfundisha mke adabu njema. Watoto wawe na heshima n.k.
4. Kudumisha upendo, umoja na mshikamano ndani na nje ya familia.
Wajibu hizi ndizo zinazomtofautisha mwanaume na mwanamke kutoka enzi hizo hadi leo nyakati hizi za utandawazi na maendeleo makubwa ya kijamii, sayansi na teknolojia.
Hata leo hata ukiwa muuza mkaa na mkeo ni mwalimu bado atahitaji vipesa vyako vya kuunga unga umunulie nguo na kutoa matumizi ya familia. Tusalamike kuwa wanawake ni wabinafsi ndivyo nature ilivyo na ndio wajibu wetu. Kumbuka concept ya Alpha Male.
Sasa mambo ya ajabu ya leo kwa mwanaume na naomba abadilike ili tuendeleze heshima yetu wanaume kwenye familia na jamii.
1. Inakuwaje mwanaume unaoa mke na unamwacha?? Yaani mke uliyemtongoza mwenyewe ukiwa na hisia kali za kimapenzi inafika mahali unasema sasa basi?? Kweli?? Nini kinatokea ambacho kinakushinda ku-control??
2. Umezaa na mtoto wa kike uliyemfata kumtongoza na kumgegeda kwa raha mstarehe leo anapata mimba unaanza visingizio mpaka unatelekeza uzao wako??
3. Mwanaume wa leo una roho gani hadi huna upendo? Unaanza vipi kukaa mbali na mwanao/ wanao uliowazaa?? Mnajua kuwa sisi tunapaswa kuwa na huruma kuliko wanawake??
Wanaume tubadilike. Tuwe na tabia za kiume. Kutelekeza familia kwa visingizio vinafanya wanawake sasa wanatupanda vichwani tusiruhusu hili. Tulinde heshima.yetu.
Karibu kuchangia mambo mengine ya ajabu na toa suruhisho cha kufanya tuokoe familia tuendeleze upendo.