Wanaume wenzangu mnatia aibu

Wanaume wenzangu mnatia aibu

kila mtu naishi kwa zama zake usitake kutuzeesha bure shaur yako kama umekata ringi
 
Si wanasema binadamu wote ni sawa!!!

Wengine wanakojoa wakiwa wamesimama na wengine wakiwa wamechuchumaa,sasa huo usawa unatoka wapi?

Halafu itakuwa ni kuwanyanyapaa wanaume ooooh watakufa mapema maana waliyoyabeba moyoni ni mengi,ya wife na michepuko acheni wapunguze stress mmu
 
Yaani kweli post za humu huwezi tofautisha hii ya mwanaume au mwanamke, wanaume wekeni sheria nyumbani mwanamke akikiuka ni jibu mtumbue ebo
daddy heri ya mwaka mpya

umeongea kabisa yaani thread nyingi ziko confused tu hazieleweki kabisa
 
Wanamsemo wao siku hizi.....

Wanume...na wengine ni wavulana
 
FisadiKuu nani nimemfuata pm na amenipa kibuti?
Nmekutongoza ww? Au mama yako? Au dada yako? Hebu weka hadharan hapa
 
FisadiKuu nani nimemfuata pm na amenipa kibuti?
Nmekutongoza ww? Au mama yako? Au dada yako? Hebu weka hadharan hapa
kuwa mpole mbona mimi nimepigwa vibuti vingi tu humu nikatangaziwa ila nimekausha

kwanza kibuti kinapunguza majukumu
 
Yaani sijui ni malezi au shida iko wapi!! Ila hali ni mbaya sana kwakweli, tulizoea kusikia wanaume wakiambiana "usiniletee tabia zako za kike" ila sasa itabidi msemo huu ubadilike tuwe tunaambiana "usiniletee tabia zako za kiume" maana mambo yamekuwa ndivyo sivyo haswaaaa!!
Msaada:Mpenzi wangu hataki kunipa unyumba
 
Back
Top Bottom