Wanaume wenzangu mnatia aibu

Wanaume wenzangu mnatia aibu

Yaani kweli post za humu huwezi tofautisha hii ya mwanaume au mwanamke, wanaume wekeni sheria nyumbani mwanamke akikiuka ni jibu mtumbue ebo


tatizo wamekuwa wanaume tegemezi sana kila kitu kulialia asaidiwe na mkewe, anabeep, zamu yakutoa hela yamatumizi, kulipa kodi wanategea, watoto home hawatunzi, kula vichipsi akifika anatoa upepo tu no sperm, hawafanyi kazi ni wavivu balaa kushinda kwenye tv na remoti mkononi kuangalia kirikuu mara msanii fulani kagombana na nani ana demu mpya.

ndio maana wanajitathimin nakujua kabisa hawaatahili kuwa vichwa nakuheahimiwa kama mme nakutoa maamuzi kwa uoga uoga kama mbwa mwizi ebooo a man unaomba ushauri eti mke wangu anaahinda na simu mkononi duuuu cjui ujinga ganiii
 
Ni kweli mkuu baadhi wanatutia aibu. Ila wengine kwa kweli wanahaki ya kuja kuomba ushauri, maana haya mambo wanayofanya wadada wa kileo hata wazee wetu hawakupigia kwa hiyo hakuna bench mark ya reaction ya kuchukua....
 
Mnanikoshaga xn muda mwingine......kila mtu anajifanya nguli wa mapenzi mkute site sasa,anatoa povu km ndezi aliyefumaniwa na dume la mbwa
 
Hata hivyo wanaume wengi humu JF ni waliosoma soma na wapo mijini so at least wanafikiwa na propaganda za magharibi juu ya 'haki sawa' na naona kweli zinawaingia akilini. Lakini huko vijijini kwetu hamna kulialia.. Mke akizingua baba anasimamia show.
 
Back
Top Bottom