Wanaume wenzangu mnatia aibu

Wanaume wenzangu mnatia aibu

Yaani sijui ni malezi au shida iko wapi!! Ila hali ni mbaya sana kwakweli, tulizoea kusikia wanaume wakiambiana "usiniletee tabia zako za kike" ila sasa itabidi msemo huu ubadilike tuwe tunaambiana "usiniletee tabia zako za kiume" maana mambo yamekuwa ndivyo sivyo haswaaaa!!
 
watafute pesa tu kulalamika hakuishi

Kwani mamii jf kuna mwanaume hana pesa? %kubwa humu wana pesa,maisha mazuri,watoto wa mjini,wajuaji wa kila kitu, wanawake hawawasumbui vichwa at the same time ndio hao hao nyuzi za kulia lia kila siku, ukiwahoji ni matusi tu.

Sasa imebaki kimoja tu ili kuziokoa hizi familia zetu "wanawake tuwe vichwa vya familia" maana practicaly ndivyo ilivyo ila basi ndio vile tena.
 
Nyie mnaojiita vijana wa zamani ndio mnaongoza kutombewewaa wake zenu na hao hao mnaowatukana
mmmh mkuu jaribu kutumia tafsida maneno makali hayo hao wazee wa zamani wengi ni ccm yatakukuta ya yericko
 
Watakuchafua tu maana kimoja wako hoi kama wamepiga zile marathon za Kilimanjaro.. Ila kama unataka upate sehemu ya urithi waambie waje wakujaribu hehe

Sasa ulijuaje hayo yote? Pole lkn kwa yaliyokusibu, kwahiyo now umerudi kwa "vijana wa sasa"?
 
Kwani mamii jf kuna mwanaume hana pesa? %kubwa humu wana pesa,maisha mazuri,watoto wa mjini,wajuaji wa kila kitu, wanawake hawawasumbui vichwa at the same time ndio hao hao nyuzi za kulia lia kila siku, ukiwahoji ni matusi tu.

Sasa imebaki kimoja tu ili kuziokoa hizi familia zetu "wanawake tuwe vichwa vya familia" maana practicaly ndivyo ilivyo ila basi ndio vile tena.
kazi kweli kweli ila lazima mabinti muwe makini kwenye kutafuta wenza wa maisha vinega ni wengi sana
 
Sasa ulijuaje hayo yote? Pole lkn kwa yaliyokusibu, kwahiyo now umerudi kwa "vijana wa sasa"?
Hapana mkuu mi ni mwanaume... Hizo habari nimepewa na marafiki wa karibu
 
mmmh mkuu jaribu kutumia tafsida maneno makali hayo hao wazee wa zamani wengi ni ccm yatakukuta ya yericko
Hehehehehehe kwahiyo watanipoteza kwakuwa nimewaambiwa vijana wa sikuhizi wanatafuna wake zao
 
kazi kweli kweli ila lazima mabinti muwe makini kwenye kutafuta wenza wa maisha vinega ni wengi sana

Mwanaume kukosa nguvu za kiume ni nusu kifo, yaani mtu anakuwa anaishi ila hana hakika kama anaishi.
 
that's Pointless!!! kama mtu amepatwa na matatizo au kapatwa na maswali alafu akarepresent kwa sehemu ambayo kuna watu anao amin watamsaidia haina maana eti ni madman au uwezo wake wa kufikiri ni mdogo,uenda kunamtu miongon mwa ao watu walishawai kukutana,kusikia au hata kuyaona ayo so anavyoamua vile bila kuomba ushauri uenda akaenda wrong ingawj maamuz yake ni sahihi kabisa kwa yeye hai maanishi kua elimu au hata umri inatosha kufanya maamuz ya busara swali nchi za wenzetu maraisi wao wapo juu kielimu na wanauwezo mkubwa wa uwelewa lakini linapokuja swala la maamuzi wanakua na washauri je! Hawanauwezo wa kuamua ipasavyo??!?
 
Hehehehehehe kwahiyo watanipoteza kwakuwa nimewaambiwa vijana wa sikuhizi wanatafuna wake zao
umeongea ukweli mkuu afu si unajua ukweli unauma wanaweza wakakufanyia kitu mbaya
 
Watakuchafua tu maana kimoja wako hoi kama wamepiga zile marathon za Kilimanjaro.. Ila kama unataka upate sehemu ya urithi waambie waje wakujaribu hehe
Kuna wanaopiga kamoja kwa kutumia saa 1 na dakika 12 sijui na hao unawaweka kundi gani
 
Nadhani kuna walakini katika mfumo wa fahamu na homoni kwa vijana waliozaliwa miaka ya themanini na kuendelea....

Wakati unaweza ukajiuliza mara mbili huyu ana akili timamu kweli....

Hata huko mitaani story zao ni watu waliorukwa na akili.....
 
Kuna wanaopiga kamoja kwa kutumia saa 1 na dakika 12 sijui na hao unawaweka kundi gani
Hakuna kijana wa zamani anayeweza hiyo show mkuu... Wanaojitahidi ni dakika 10 chali... We huoni wake zao wanafumuliwa sana na vilegeza suruali vya kule kinondoni na sinza
 
A counter attacking episode...
"wanaume wamepungua sana''...
 
Back
Top Bottom