Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

Jamani kiwembe kinakata ila hakitumiwi buchani....


Zurie;
Kila kitu chamhitaji fundi mwenye ujuzi nacho. Ka ndo chenyewe ulicho nacho, utakitumia kuliko kuweka guu zima chunguni.
 
Kunaongeza kuwa na hamu ya mapenzi na sio uwezo, uwezo na hamu ni vitu viwili tofauti, uwezo katika mapenzi ni kuhusu experience uliyonayo katika mapenzi, kuwa na upara alafu huna experience uone utakavyo lukaluka km rasta kwenye mwili usio na afya
Kwa lugha rahisi, 'wanaume wenye upara wana nyege kali kuliko wale wasio na upara'...
 
Akili zenu wa Africa yaani mnawaza ngono tuu wakati mambo yamcngi yamaisha yenu hayako sawa
 
Haya kaka, hili liwe somo kwa wadada waangalie upara zaidi kama wanataka michezeo zaidi. Mbona nawafaham watu flan wenye upaa ka kiwanja cha ndege lakini hata watoto wa kudhaniwa hawakupata ilihali walioa?
Masomo mengine bure tu. Hao wamekosa masomo. Mara sijui ukubwa wa pua ndo unene wa pen.. bure tuu hamna lolote. Ukifika kumbe vibamia mdada mpaka akufungie na kanga tena asikohoe. Masomo yenu bure kabisaaa
Mkuu, unanafasi ya kunyoa. Usimind
 
Akili zenu wa Africa yaani mnawaza ngono tuu wakati mambo yamcngi yamaisha yenu hayako sawa
Ni kweli usemalo hata wazazi wako nao hawajapona katika hilo, wew ni ushuhuda na matokeo hayo..walingonoka
 
Back
Top Bottom