Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

Mimi nko nA kipara na nilivyokuwa sijaoa kweli wadada walikuwa wanakolea
Mama watoto mwenyewe ananikubali
 
Nakubaliana na hoja.
vp kuhusu wanaume wenye mabusha utendaji wao kitandani?
 
Hapana ni kijana before 35, maana alishindwa kuchungulisha maana kipisi kilizidi, yaani nachukia nikikumbuka
Hebu fanya mpango nikufute machungu ikibidi usahau yaliyopita maana inaonekana km bado una stress.
 
Sina upara Ila nikikunata na mwanamke kitandani huwa ni lazima aliye kwa kunogewa
Hivi vilio havinaga formula, isijekuwa analia ili upate stimu umalize umuache coz unamtia shombo
 
Mmmh bila shaka huu utafiti ni wa twaweza

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom