Mpo hapo!
Ya kumalizia mwaka hii!
A study in 1960 by Yale doctor, James Hamiliton inaonyesha kwamba kuna uhusiano mkubwa kati ya homoni za testosterone levels kwa mwanaume na upara!
Wanaume wenye kipara wana idadi ya juu ya homoni ya testosterone hivyo wako more musculine, thus kuzidisha their sex drive.
Kuwa au kutokuwa na upara utegemea idadi ya testosterone iliyo mwilini ambapo ndiyo uchangia uwezo wa mwanaume kitandani.
Ukweli ni kuwa ni idadi nyingi ya homoni za testosterone ndiyo inachangia kuwa na upara!
NB.
Testosterone hormones ni homoni zinazofanya mwanaume kuwa na hamu na uwezo wa kufanya mapenzi.
Hahaha mh ila kumbuka hata ukimpata mwenye kipara kuhakiki ni shuhuli
JE UKIKUTA YASEMWAYO HAYAPO?
Nitailaani hii study
Yeah GHOST or James St Patrick " can't wait for season 3
Hahahaha kwani mdada akikohoa inakuwaje mkuu mangatara?Haya kaka, hili liwe somo kwa wadada waangalie upara zaidi kama wanataka michezeo zaidi. Mbona nawafaham watu flan wenye upaa ka kiwanja cha ndege lakini hata watoto wa kudhaniwa hawakupata ilihali walioa?
Masomo mengine bure tu. Hao wamekosa masomo. Mara sijui ukubwa wa pua ndo unene wa pen.. bure tuu hamna lolote. Ukifika kumbe vibamia mdada mpaka akufungie na kanga tena asikohoe. Masomo yenu bure kabisaaa
Yooh...Nalaha mhayo bhoko Everly Salt.Natafuta marafiki wa kuchat nao wawe na upara
Natafuta marafiki wa kuchat nao wawe na upara
Usibeze utafiti ... tafiti hupingwa kwa tafiti.Huu utafiti bure kabisa.