bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,376
- 3,976
Hizi science zimekaa ki dr mwaka mwaka hivi.
Upara wangu ni mkubwa sana. Utanikubali?Natafuta marafiki wa kuchat nao wawe na upara
Hahahahhahaahha....wengine ana kipara na kiba*ia, Lugha gongana!!!
Fafanua vizuri.. Pamoja na kamfano.. ! [emoji41] [emoji41]Kuna kaukweli
Kama we ndo bwawa je.. ?![emoji41] [emoji41] [emoji41]Hahahahhahaahha....wengine ana kipara na kiba*ia, Lugha gongana!!!
Kama mtu kang'arisha kama Yakubu Zuma, ruksa?Natafuta marafiki wa kuchat nao wawe na upara
Hongera kwa kupost...karibu tena!Kama we ndo bwawa je.. ?![emoji41] [emoji41] [emoji41]
Jamani kiwembe kinakata ila hakitumiwi buchani....Zurie;
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi!! Ni kwetu walinifunza hilo. Kibamia kisikusumbue, mpe ruksa aoneshe maujuzi waweza zimia kitandani.
Na panga linakata ila halichokolei dafu...Jamani kiwembe kinakata ila hakitumiwi buchani....
Acha bhana hakuna hiyoHahahahhahaahha....wengine ana kipara na kiba*ia, Lugha gongana!!!
Aisee Kiswahili ni lugha poa sanaJamani kiwembe kinakata ila hakitumiwi buchani....
Na panga linakata ila halichokolei dafu...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Natafuta marafiki wa kuchat nao wawe na upara