Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

Ahaaaaa haaaaaa sasa inabidi tuwaogope watu wenye vipara
 
Mimi naitwa mzee Kipara.
Nilikuwa nalichukia hilo jina ila kuanzia leo mhhhhh!!!!

Ni mwendo wa vipara kama platnumzzz
 

Attachments

  • 1451227950879.jpg
    1451227950879.jpg
    24.5 KB · Views: 370
This might be true... kwa experience yangu kidogooo kuna ka ukweli hapa
 
Mpo hapo!
Ya kumalizia mwaka hii!

A study in 1960 by Yale doctor, James Hamiliton inaonyesha kwamba kuna uhusiano mkubwa kati ya homoni za testosterone levels kwa mwanaume na upara!


Wanaume wenye kipara wana idadi ya juu ya homoni ya testosterone hivyo wako more musculine, thus kuzidisha their sex drive.

Kuwa au kutokuwa na upara utegemea idadi ya testosterone iliyo mwilini ambapo ndiyo uchangia uwezo wa mwanaume kitandani.

Ukweli ni kuwa ni idadi nyingi ya homoni za testosterone ndiyo inachangia kuwa na upara!

NB.
Testosterone hormones ni homoni zinazofanya mwanaume kuwa na hamu na uwezo wa kufanya mapenzi.

Mhuuuu! ni shiiiiiiiiiiiida.

Bonge la promo.
 
Ni kile kipara cha kutoa govinda jamani sio cha nywele za kichwani
 
Back
Top Bottom