Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

Tulishawajadili sana humu kuna thread yake.. naona bado mnawananga tena na thread mpya...
 
Wenye upara wanahaiangika kweli kutafuta upenyo kwenye mapenz watafutwe maaana walishanza kusema ndio wenye akili sana mara ndio wanabahat sana maishan mara wengi wao ni matajiri.. !sasa hivi wamekuja na hii ili watafutwe
!
 
Duh!!kuna rafiki yangu ana upaa lakini mechi zake huwaga anachezaga chini ya kiwango
 
Back
Top Bottom