Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

Huu utafiti,unaukweli ndani yake,wadada ndo wanasiri za vipara
 
Hatimae kipara changu kimenitoa kimasomaso, kimekumbukwa na chenyewe.
Hapa hata ambao hawaoti nywele kutokana na majeraha ya ki- Scorpion watasema wana vipara...tehteh
 
Wakuu nazidi kuvumbua vingi katika uchunguzi wangu kuhusu

VIPARA KWA WANAUME

-Kipara cha fedhaa
-kipara cha usomi
-kipara cha kujua mapenzi

VITAMBI

-wengi wenye vitambi naskia hawajui mapenzi
- wenye vitambi wngi ni maskini

Twaweza hamuwezi kuwa serious katika hilii [emoji115] [emoji115] [emoji115]

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ngoja na mie nikawindemo mmoja nijiridhishe
 
Mim cna kipara ila kiuno ni flat na mgongo yaan zaid ya wanawk wot niliokuw nao wananiambia nimejaaliw. Hayo ni maumbil ya mtu tu
 
Kuna kaukweli hapa maana mm nina kipara na shuwuli yangu si mchezo kwa kweli
 
Kipala sio issue...., Usije kukutwa na bwana Pepsi ambae ni Mie...Japo sina kipara
 
Hapa hata ambao hawaoti nywele kutokana na majeraha ya ki- Scorpion watasema wana vipara...tehteh
Hahahahaha..........mkuu mbona unaniblast namna hii bila hata huruma
 
Utafiti uliofanywa mwaka 1960 na Dr. James Hamiliton umeonyesha kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya usawa wa homoni ya Testosterone kwa mwanaume na wenye upara.

Wanaume wenye kipara wana idadi ya juu ya homoni ya Testosterone hivyo wanakuwa na misuli zaidi na hivyo kufanya wawe na hamu na nguvu zaidi za kushiriki tendo la ndoa.

Kuwa au kutokuwa na upara hutegemea idadi ya Testosterone iliyo mwilini ambapo ndiyo huchangia uwezo wa mwanaume kitandani. Ukweli ni kuwa ni idadi nyingi ya homoni za Testosterone ndiyo inachangia kuwa na upara.

Mhimu: Homoni ya ‘testosterone’ ni homoni inazofanya mwanaume kuwa na hamu na uwezo wa kufanya mapenzi.

main-qimg-fcedc67949a6cefb4832d3d24501cf52-c.jpg
 
Back
Top Bottom