linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,701
- 4,325
Hawajui wanaume... Ila pia wengi hawawajui wanawake.... Kuna mwanamke ukiambiwa anachepuka unaweza bisha usiku kucha... So wanaume huwa wanajiona wajanja wakitoka kwa mchepuko kumbe na mkewe alichepuka pia, dunia hii vikojoleo vinasumbua jinsia zote.. Hii ni tangu zamaniNina miaka 57,sijawahi kuona mwanaume asiyechepuka, unamiaka mingapi mjukuu wangu?
kwenye nyumba za wageni unaendaga kufanya nini mara kwa mara hadi uje na huu uzi au unafanya kazi huko??
Kabisaaaaaaa pigia mstariKati ya sababu nyingi za wake za watu kuchepuka hii ni mojawapo.
Comments zako ni za kibabe sanaHawajui wanaume... Ila pia wengi hawawajui wanawake.... Kuna mwanamke ukiambiwa anachepuka unaweza bisha usiku kucha... So wanaume huwa wanajiona wajanja wakitoka kwa mchepuko kumbe na mkewe alichepuka pia, dunia hii vikojoleo vinasumbua jinsia zote.. Hii ni tangu zamani
Tusongeze masaa mbeleHahaaaaa mambo mengi mda kidogo
Naturally, mwanaume yupo hivyo ukiacha wivu wenu wa kutaka uwe wewe peke yako kwa mwanaume na ukiacha sheria za kibeberu za monogamy, rejea vitabu vitakatifu, utaona asili ya binadamu kati ya mtu Mme na mtu mke, utaelewa namaanisha nini. Naamini umenielewa au niongeze sauti.Ila kwa nini mambo yasiyo na sifa kwenye jamii ndo wanaume huwa mnajisifu nayo????
K ina nguvu sana, sijui kwa nini...Kuna mkaka wa heshima na nafasi kubwa tu serikalini. Amekamata katoto ka form six direct employment, amekapangishia guest wing.
Kila akitoka kazini ana kaa huko mpaka saa mbili usiku ndiyo anakwenda kwake. Anamhudumia kila kitu mpaka gari amemnunulia.
We nawe mbeya, mambo mengine kaushaga, kwanini ushinde dukani au na wewe unawawinda?? kaa ndani msubirie mumeo ukiwa unamuombeaNapoishi getini kuna duka, geti linalofuta ni gesti so nikiwa dukani kama sasa hivi migari inapishana tu alafu hawapendi kupiga honi hahahaa
ππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£Kuna wanaume wameoa wake sio wao ndo mana wanachepuka kutafuta wake zao, same with wanawake, bahadhi yao wameolewa na wanaume sio wao, ndio maana wanachepuka kutafuta waume zao.
Mwanaume chepuka kadri uwezavyo hadi upate soul mate, utaona mwenyewe unatulia. Ila mwanamke kuchepuka sana ni umalaya, tulia na uliyekuwa naye, utapata ukimwi. Sheenzi taipu.πͺπͺπͺ
Mimi mwenyewe najiandaa kutafuta kaform six leaver kamoja matata nikahudumie.....ili kanihudumie kabla sijatia timu kwa wife kwani ana chonga huyo......na hivi sasa huku kuna baridi natupia koti lenye kofia huku nimetandika headphone anajua namsikiliza kumbe mwenzie nakula ngoma za bob marley ....survival....kinky reggae....root rock reggae na zem crazy bald headAlafu akitoka job mke unampokea ujui hili wala lile unajua una bwana kumbe loooh
Ukifika usiku unashangaa unaambiwa leo mke wangu nimechoka sana kazi zilikuwa nyingi kumbe mwenzio kaachwa vizuri
Sasa nisifanye biashara yangu ili nisione michepuko ikipitaWe nawe mbeya, mambo mengine kaushaga, kwanini ushinde dukani au na wewe unawawinda?? kaa ndani msubirie mumeo ukiwa unamuombea
Ongeza sautiNaturally, mwanaume yupo hivyo ukiacha wivu wenu wa kutaka uwe wewe peke yako kwa mwanaume na ukiacha sheria za kibeberu za monogamy, rejea vitabu vitakatifu, utaona asili ya binadamu kati ya mtu Mme na mtu mke, utaelewa namaanisha nini. Naamini umenielewa au niongeze sauti.
Wewe unae mume sio kila mwanamke atapata habat ya kuwa na mume wake mpo wengi tunafanya hivo kuwa saidia wenzenu wasife bila kupata utamu.. Kwa iyo acha wivu na ubinafsi sisi wanaume sio wabinafsi.
watu wanapiga dili zao sio lazima kuchepuka. gest zina mambo mengi sanaSasa nisifanye biashara yangu ili nisione michepuko ikipita
Hahahaa
Macho hayana pazia
Alafu nikiwakazia macho huwa wanapandisha viooo
Na hii ndio sababu ya wanaume wengi kuchepuka, mwanamke mdomo ka chuchunge aisee.Mimi mwenyewe najiandaa kutafuta kaform six leaver kamoja matata nikahudumie.....ili kanihudumie kabla sijatia timu kwa wife kwani ana chonga huyo......na hivi sasa huku kuna baridi natupia koti lenye kofia huku nimetandika headphone anajua namsikiliza kumbe mwenzie nakula ngoma za bob marley ....survival....kinky reggae....root rock reggae na zem crazy bald head
Na huo ndio ukweli mchungu ndio maana, huwa natimiza majukumu yangu kama baba wa familia, kuilinda na kuisimamia hayo mengine ya kuchepuka au kutochepuka namuachia Mungu Baba wa majeshi, I have no such useless time kufatilia mtu mzima aliyelelewa na wazazi wake.Povuu π π π ukweli utabaki kuwa hata wa kwako anachepuka hakuna umalaya wala nini...
Ndoa ina motives nyingi hadi mtu anafikia hapo...ni zaidi ya upendo na kupendana.ila Mungu anapata kazi tu kwa mijitu kama hiyoo kama kuoa ametaka mwenyewe kwa nn kuchepuka ?