linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,688
- 4,318
Hawajui wanaume... Ila pia wengi hawawajui wanawake.... Kuna mwanamke ukiambiwa anachepuka unaweza bisha usiku kucha... So wanaume huwa wanajiona wajanja wakitoka kwa mchepuko kumbe na mkewe alichepuka pia, dunia hii vikojoleo vinasumbua jinsia zote.. Hii ni tangu zamaniNina miaka 57,sijawahi kuona mwanaume asiyechepuka, unamiaka mingapi mjukuu wangu?