mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 19,004
- 37,147
Kadiri miaka inavyosonga mbele hili litakuwa jambo la kawaida sana. Kwa sasa wapo wachache japo hawajiweki wazi sana na wengi wao wana kazi zao na vipato vyao.Hivi inawezekana kuingia na makubaliano na mwanamke wa kibongo umlipe akuzalie mtoto then msijuane?
Kutokana na uzoefu wangu