Wanaume wengi ni sumu katika mahusiano

Wanaume wengi ni sumu katika mahusiano

Sawa olewa ila usikae na bwana wako kwenye nyumba yangu. Akakujengee pengine huko ila usianze maisha na mtu mwengine kwenye boma la watoto wangu.
Anachokitaka Yeye

Ni aolewe kwenye Boma lako humohumo, apelekewe moto kwenye Boma lako humohumo na wanao humohumo wanalala😂😂😂.


Hawa Ndio wale, ukifa, wanakomaa ukazikwe kwenu ndani ndani huko
 
Ni wivu ama hamuwezi kuachika mnataka kucontrol mtu hata kama mmeachana vipi nyie
We unazungumzia wivu, hivi ingekuwa tumeoana na wewe una pesa zaidi na nyumba kadhaa tukaamua kuishi kwenye mojawapo after sometime tumeshindwana tukaamua kusplit ukaenda kuishi kwenye nyumba yako ingine utakubali uniachie nyumba na watoto kisha usikie naoa mke mwengine nikae nae kwenye hio nyumba utanikalia kimya?

Hivi kuna mtu mbinafsi kama mwanamke katika hii dunia? Mwanamke ukiwa na chake anaweza kukudhalilisha vibaya mno. Kama simu yako ya samsung ilimvua nguo fundi sipati picha ingekuwa nyumba au gari kudadadeki.
 
Ni wivu ama hamuwezi kuachika mnataka kucontrol mtu hata kama mmeachana vipi nyie
Tatizo lenu siku hizi hamna aibu

Zaman mwanamke hata aachike, ataendelea kumuheshim Mume wake.


Tumeachana, nimekubali ubaki nanyumba Kwa ajili ya watoto.


Wewe kuolewa hakunihusu, olewa na upigwe paipuuuuuu.


Swali, kwann humohumo Ndani ya Nyumba yangu, ndo utake kuolewamo??? Kwann Ako kankokupelekea moto, kasikujengeez au usihanie kwake, kakupelekee moto .



Subirini tu, Kama Kenya wameweza, Sembuse Tanzania, Sheria yaja, mbona mtakua wadogo kama Atom 😂😂😂
 
We unazungumzia wivu, hivi ingekuwa tumeoana na wewe una pesa zaidi na nyumba kadhaa tukaamua kuishi kwenye mojawapo after sometime tumeshindwana tukaamua kusplit utakubali uniachie nyumba na watoto kisha usikie naoa mke mwengine nikae nae kwenye hio nyumba utanikalia kimya?
Babuuu hawa wasasa wanachojua ni kislay tu , Aibu hawana, Heshima hawana.
 
Tatizo lenu siku hizi hamna aibu

Zaman mwanamke hata aachike, ataendelea kumuheshim Mume wake.


Tumeachana, nimekubali ubaki nanyumba Kwa ajili ya watoto.


Wewe kuolewa hakunihusu, olewa na upigwe paipuuuuuu.


Swali, kwann humohumo Ndani ya Nyumba yangu, ndo utake kuolewamo??? Kwann Ako kankokupelekea moto, kasikujengeez au usihanie kwake, kakupelekee moto .



Subirini tu, Kama Kenya wameweza, Sembuse Tanzania, Sheria yaja, mbona mtakua wadogo kama Atom 😂😂😂
We unajadili manin kwani kaolewa na hata kiolewa ni haki yake mtu akiomba talaka Ndio kakosa adabu achen mfumo dume mkiachwa achiken
 
We unajadili manin kwani kaolewa na hata kiolewa ni haki yake mtu akiomba talaka Ndio kakosa adabu achen mfumo dume mkiachwa achiken
Hatujakataa kuachana kaanze upya na mume mpya. Sio muanzie tulipoishia mi nawewe. Akujengee nyumba mpya na akugongee kwake.
 
Ni wanaume wetu wana roho mbaya za kijinga na wachoyo na ubinafsi umewajaa
Huwa hawashimu hata wanawake walowazalia watoto wanaona kawaida kungekuwa na sheria kali wangejua hawajui
Kabisa
 
Si wengine tunawaona pia Ndio nikasema wengi wao wapo pia wachache wazuri ila wachache mno
Wewe mwanamke na akili zako unakubalije kuolewa kama mke wa pili? Je tatizo linaweza kuwa ni kwa wanawake kuwa na tamaa na kuangalia mali badala ya utu wa wanaume wanaotaka kuwaoa?
 
Wewe mwanamke na akili zako unakubalije kuolewa kama mke wa pili? Je tatizo linaweza kuwa ni kwa wanawake kuwa na tamaa na kuangalia mali badala ya utu wa wanaume wanaotaka kuwaoa?
Nawe mwanaume kwanin uoe wake wengi na una karoho kadogoo
 
Wanaume asilimia kubwa ikitokea mkaachana furaha yao wakuvuruge ukose pa kushika yaan ukose ramani zote afu kila siku wasikie una shida ndo furaha yao hata km wameachana mwanamke akiwa na mapacha watatu ananyonyesha. Wana roho mbaya sana hawataki ex zao wapate amani
Wewe ma x wako huwa unawatakia mema? Mbona huko mitandaoni tunaona comments za chuki sana kwa ma x kutoka kwenu?
 
Kama Mwaka kataka mali zake Queen arudishe tu ama la na yeye angetafuta zake alivyokua kwenye ndoa. Haya mambo ya kufika ndoani unakaa tu unasukuma ndoto za mwenzako halafu usubiri kesho muachane udai kugawana mali. Queen angekua na maisha yake asingehangaika kuishi bila amani kisa nyumba. Kama suala ni watoto awarudishe kwa baba yao yeye akatafute maisha apate hela ajenge nyumba yake akae kwa amani.

Ila wanaume wakiachwa wanakuaga na hasira. Mwenzetu kavunja ndoa bila plan B na mwaka kajua pa kumkomeshea ni hapo kwenye mali zake.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Kuna maneno mawili ya kipuuz sana mimi naona

Kwann wanaume hawawapi wake zao mali kirohosa.

Kwann wanaume hawaheshimu wake zako .

Amemuo amezaa nae watoto watakaa wap?
(Hao watoto wa baki kwa baba yao)

Wew bado uwez kujadili mada za ndoa kwakuw una muhemko tuu .


Na kuulza tuu kiroho safi
Wanawake kwann mnakazania Taraka /Ndoa nying sasa mnavunja nyie

Na kwann unachagua mali baada ya Taraka/


NYIE WANAWAKE WA KIZAZ HIKI HAMN AKILI TAZAMEN MAMA ZENU.
 
Back
Top Bottom