Wanaume wengi ni sumu katika mahusiano

Wanaume wengi ni sumu katika mahusiano

We unajadili manin kwani kaolewa na hata kiolewa ni haki yake mtu akiomba talaka Ndio kakosa adabu achen mfumo dume mkiachwa achiken
Yaan tuonae, ujisikie kuomba Talakaz nikupe Talaka, alafu hapohapo utie simanzi na huruma, Nikupe Nyumba.

Sawa niamue kukupa kwaajili ya wanangu, usivyo na aibu uolewe humohumo yaan Wanangu waishi wanaona Kidume kingine, kinazungukazunguka na taulo kwangu?.


Wewe Bidada, nadhan wee bado Mdogo wa kuslay , bado uko na na mawazo ya kingonongono , ila ukifika umri wa kimama mama umri wakuwaza kusomesha wanao , Hata Anayekushauru atakuambia "Dejane Mwanangu, Mimi ni Mama yako, nakushauri sanaaa, Usije kuolewa Ndani ya Nyumba ulopewa kwaajili ya wanao".



Olewa sana , tiwa sanaaa tu maana maku ni yakoooo ,hupangiwi, ila ni MARUFUKU NDANI YA NYUMBA ULOIPATA KWA MAKUBALIANO NI YA WATOTO.

MARUFUKU MARUFUKU
 
Kama Mwaka kataka mali zake Queen arudishe tu ama la na yeye angetafuta zake alivyokua kwenye ndoa. Haya mambo ya kufika ndoani unakaa tu unasukuma ndoto za mwenzako halafu usubiri kesho muachane udai kugawana mali. Queen angekua na maisha yake asingehangaika kuishi bila amani kisa nyumba. Kama suala ni watoto awarudishe kwa baba yao yeye akatafute maisha apate hela ajenge nyumba yake akae kwa amani.

Ila wanaume wakiachwa wanakuaga na hasira. Mwenzetu kavunja ndoa bila plan B na mwaka kajua pa kumkomeshea ni hapo kwenye mali zake.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app

We utakubali watoto wakalelewe na mwanamke mwingine?hiyo nyumba si kamuandikisha queen inarudije tena? Mama ana haki ya kulea wanae
Na kasema wala hataki mali zingine maana mali nyingi anazo mwaka mwenyewe
Kama utaratibu na sheria hazijabadilika mwanamke ana haki ya kupewa baadhi ya mali alee wanae Huoni kina Kim wanavyopewa mipesa mingi kulea watoto
Mwaka ana roho mbaya mpaka anamtumia majeneza
 
Waonee na siku mmekaaa kifisadi Fisadi.

Yaaan ndio maana mnachepuka hapohapo unataka uendelee kutunzwa na Mumeo.

Kikawaida kama umeamua kuchepuka.... Ondoka Kwa Mumeo, nenda ukachepuke hukohuko, utunzwe hukohuko


Kwann uchepuke huko, alafu matunzo na huduma Kila kitu niendelee kutoa Mimi??



Niachie wanangu , weee pelekee maku yako hukooo itumiwe SINA SHIDA NAYO .


Mnatuua siku hizi, nakusingizia óhooo wanaume wanaharakati nyingi??.

Mnatuua ,hamna lolote, mnatuua sababu sahizi mnaolewa Kwa kutageti Mali, ukishapata, ukaona mtu hafi, mnamuua .


MWAKA, KOMAA HAPOHAPO !!!
 
Kuna maneno mawili ya kipuuz sana mimi naona

Kwann wanaume hawawapi wake zao mali kirohosa.

Kwann wanaume hawaheshimu wake zako .

Amemuo amezaa nae watoto watakaa wap?
(Hao watoto wa baki kwa baba yao)

Wew bado uwez kujadili mada za ndoa kwakuw una muhemko tuu .


Na kuulza tuu kiroho safi
Wanawake kwann mnakazania Taraka /Ndoa nying sasa mnavunja nyie

Na kwann unachagua mali baada ya Taraka/


NYIE WANAWAKE WA KIZAZ HIKI HAMN AKILI TAZAMEN MAMA ZENU.

Mwanamke ana haki zake katika ndoa kasome sheria

Mke ana haki ya kupata haki ya jasho lake alilochangia kwenye mali iliyopatikana wakati wa ndoa iwapo ndoa itavunjika kama inavyoelezwa katika kifungu cha 114.
 
Hizo haki ni upuuuz unawafany KIZAZ hiki msijui mnachotaka




Soma din yako vzr mkuu

Mke ana haki ya kupata haki ya jasho lake alilochangia kwenye mali iliyopatikana wakati wa ndoa iwapo ndoa itavunjika kama inavyoelezwa katika kifungu cha 114.
 
Sasa wanalo na hivi hilo lidada lizuriii weeee sasa hivii litaolewa


Niliona umeandika points nzuri, ila comment yako hii ime dissolve points zote, hakika hii comment yako ndio ina akisi sehem kubwa ya mawazo ya wanawake mlio wengi pia. Kwamba Uzuri huleta ndoa, kwamba Uzuri ulete mali, Uzuri ulete maisha bora.

Mwisho wa siku mwanamke hajijengi kifikra, kiuchumi, wala kimaadili kisa mzuri ataolewa, anaenda kuolewa matara kisa pesa ya jamaa wala sio msingi wa maadili ya kuoa matara.

What happens!? Mnakutana na kina Haji Manara and Dr Mwaka type kwenye matara, mnaangukia pua then mnalalamikia wanaume.

“Lidada lizurii sasa hivi litaolewa” sawa akaolewe kwa uzuri tunaendelea kuhesabu.

NB:Mimi sio mdau wa ndoa za wake wengi, ila sipingi uwepo wake kwa watu wenye uadilifu na pesa ikiwa kigezo cha pili.

Ni hayo tu.

Tyrone KG
 
Waonee na siku mmekaaa kifisadi Fisadi.

Yaaan ndio maana mnachepuka hapohapo unataka uendelee kutunzwa na Mumeo.

Kikawaida kama umeamua kuchepuka.... Ondoka Kwa Mumeo, nenda ukachepuke hukohuko, utunzwe hukohuko


Kwann uchepuke huko, alafu matunzo na huduma Kila kitu niendelee kutoa Mimi??



Niachie wanangu , weee pelekee maku yako hukooo itumiwe SINA SHIDA NAYO .


Mnatuua siku hizi, nakusingizia óhooo wanaume wanaharakati nyingi??.

Mnatuua ,hamna lolote, mnatuua sababu sahizi mnaolewa Kwa kutageti Mali, ukishapata, ukaona mtu hafi, mnamuua .


MWAKA, KOMAA HAPOHAPO !!!

Kifungu cha 63 kinatamka kwamba mume ana wajibu wa kumtunza mkewe kwa kumpa mahitaji yote muhimu katika maisha kama mavazi, chakula na malazi kulingana na uwezo wake. Mke pia atakuwa na wajibu huo ikiwa tu mume kwa sababu ya ugonjwa hawezi tena kufanya kazi yoyote. Na kama mume hatekelezi wajibu huo kwa makusudi mahakama chini ya kifungu cha 115 yaweza kumwamuru kutekeleza wajibu huo.
 
Saw nmekuelewa mkuu ila sipo huku niko positive ya kuish na mwenzako na kulea familia , 85% waliovunj ndoa zao leo wanajuta na huw wengi wanakuw washaur wazur wa ndoa

Mke ana haki ya kupata haki ya jasho lake alilochangia kwenye mali iliyopatikana wakati wa ndoa iwapo ndoa itavunjika kama inavyoelezwa katika kifungu cha 114.
 
Yaan tuonae, ujisikie kuomba Talakaz nikupe Talaka, alafu hapohapo utie simanzi na huruma, Nikupe Nyumba.

Sawa niamue kukupa kwaajili ya wanangu, usivyo na aibu uolewe humohumo yaan Wanangu waishi wanaona Kidume kingine, kinazungukazunguka na taulo kwangu?.


Wewe Bidada, nadhan wee bado Mdogo wa kuslay , bado uko na na mawazo ya kingonongono , ila ukifika umri wa kimama mama umri wakuwaza kusomesha wanao , Hata Anayekushauru atakuambia "Dejane Mwanangu, Mimi ni Mama yako, nakushauri sanaaa, Usije kuolewa Ndani ya Nyumba ulopewa kwaajili ya wanao".



Olewa sana , tiwa sanaaa tu maana maku ni yakoooo ,hupangiwi, ila ni MARUFUKU NDANI YA NYUMBA ULOIPATA KWA MAKUBALIANO NI YA WATOTO.

MARUFUKU MARUFUKU
Mkuu, neno Tiwa nadhani linatokana na kitenzi Tia, sasa tukija kuliweka kwenye kiima kitendeshi ndo linageuka kuwa TIWA?
 
Niliona umeandika points nzuri, ila comment yako hii ime dissolve points zote, hakika hii comment yako ndio ina akisi sehem kubwa ya mawazo ya wanawake mlio wengi pia. Kwamba Uzuri huleta ndoa, kwamba Uzuri ulete mali, Uzuri ulete maisha bora.

Mwisho wa siku mwanamke hajijengi kifikra, kiuchumi, wala kimaadili kisa mzuri ataolewa, anaenda kuolewa matara kisa pesa ya jamaa wala sio msingi wa maadili ya kuoa matara.

What happens!? Mnakutana na kina Haji Manara and Dr Mwaka type kwenye matara, mnaangukia pua then mnalalamikia wanaume.

“Lidada lizurii sasa hivi litaolewa” sawa akaolewe kwa uzuri tunaendelea kuhesabu.

NB:Mimi sio mdau wa ndoa za wake wengi, ila sipingi uwepo wake kwa watu wenye uadilifu na pesa ikiwa kigezo cha pili.

Ni hayo tu.

Tyrone KG

Mwanamke akiomba talaka apewe na kama akitaka kuolewa ana haki ya kuolewa kwingine
 
Saw nmekuelewa mkuu ila sipo huku niko positive ya kuish na mwenzako na kulea familia , 85% waliovunj ndoa zao leo wanajuta na huw wengi wanakuw washaur wazur wa ndoa

Kwenye kuoana kuna kuachana
 
Hatujakataa kuachana kaanze upya na mume mpya. Sio muanzie tulipoishia mi nawewe. Akujengee nyumba mpya na akugongee kwake.
Bidada anajipa Moyo kujuhalalisha.


Hamna mwanaume anayekataa kuachana, Kwan shingapi ?? Wanawake wamejaa mapini Kila Mahali .

Kuna Siku nimetoka Lodge, siku HIYO nilipiga Demu mkaliiiiiiiiii, ndugu unajua Mkali????.


Baadae nikapita ATM Moja Hivi, aiseeee Alikuja Demu kutoa Hela, Mkaliiiiiiiiii mkaliiiiiiii kupita Dem niliyemla .


Nikajikaza Sanaa, nikafanya yangu nikasepa.


Ile Nawasha pikipiki nisepe, alipita Boda kapakia Demu mkaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..ndugu msomaji, huyu Demu Nahisi ni jiniii , yaan mkaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.


Nikawafatilia Kwa nyumaa weweee mpaka Demu alipoishia na kushuka, nikamuita, akanipa namba .


Nachotaka kusema hapa nikwamba, WANAWAKE WAZURI WAMEJAA TELE..


Mwanamke akiomba Talaka ,Mpeee .... Nakama mezaa na Kuna nyumba na anataka Ishi na watoto, mpeeeeee .


Kwanza ukimpa, ukienda kutembelea watoto Lazima upelekeee moto maana mnakua marafiki.


ILA , USIRUHUSU NYUMBA ULOWAPA WATOTO WAKO, YEYE MWANAMKE AWALEE HUMO, ET SASA MKE NDO ALIWE HUMOHUMO .

NI DHARAU ZA KIWANGO CHA SGR.



👉👉👉WANAWAKE MJUE, KWENYE UNDUGU WA FAMILIA, MWANAMKE NA MWANAUME SIO NDUGU, YAAN WEWE MWANAMKE SIO NDUGU YANGU NDO MAANA UNAWEZA OMBA TALAKA, NDUGU NI WANANGU, NA KWAKUA WANANGU NI NDUGU, NYUMBA NATOA KWA NDUGU ZANGU AMBAO NI WATOTO


Wewe pia una ndugu zako, nenda wakuoe nyumba Yako wewe .
 
Yaan tuonae, ujisikie kuomba Talakaz nikupe Talaka, alafu hapohapo utie simanzi na huruma, Nikupe Nyumba.

Sawa niamue kukupa kwaajili ya wanangu, usivyo na aibu uolewe humohumo yaan Wanangu waishi wanaona Kidume kingine, kinazungukazunguka na taulo kwangu?.


Wewe Bidada, nadhan wee bado Mdogo wa kuslay , bado uko na na mawazo ya kingonongono , ila ukifika umri wa kimama mama umri wakuwaza kusomesha wanao , Hata Anayekushauru atakuambia "Dejane Mwanangu, Mimi ni Mama yako, nakushauri sanaaa, Usije kuolewa Ndani ya Nyumba ulopewa kwaajili ya wanao".



Olewa sana , tiwa sanaaa tu maana maku ni yakoooo ,hupangiwi, ila ni MARUFUKU NDANI YA NYUMBA ULOIPATA KWA MAKUBALIANO NI YA WATOTO.

MARUFUKU MARUFUKU
Yeye anasema wanaume wa kitanzania au wa kiafrika sawa. Hao wakizungu wanaoweza kufanya hui ujinga wako Nchi gani?
Huyu Dada ana mawazo mazuri lakini kwa hii ya leo amepotoka sana.
Anachukulia maisha poa sana.

Wanaume tunapata pesa na mali kwa hustle kubwa sana, zingine ni hatari kabisa ndio maana hatutakagi ujinga hata uende Marekani ni hivyo hivyo.
 
Bidada anajipa Moyo kujuhalalisha.


Hamna mwanaume anayekataa kuachana, Kwan shingapi ?? Wanawake wamejaa mapini Kila Mahali .

Kuna Siku nimetoka Lodge, siku HIYO nilipiga Demu mkaliiiiiiiiii, ndugu unajua Mkali????.


Baadae nikapita ATM Moja Hivi, aiseeee Alikuja Demu kutoa Hela, Mkaliiiiiiiiii mkaliiiiiiii kupita Dem niliyemla .


Nikajikaza Sanaa, nikafanya yangu nikasepa.


Ile Nawasha pikipiki nisepe, alipita Boda kapakia Demu mkaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..ndugu msomaji, huyu Demu Nahisi ni jiniii , yaan mkaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.


Nikawafatilia Kwa nyumaa weweee mpaka Demu alipoishia na kushuka, nikamuita, akanipa namba .


Nachotaka kusema hapa nikwamba, WANAWAKE WAZURI WAMEJAA TELE..


Mwanamke akiomba Talaka ,Mpeee .... Nakama mezaa na Kuna nyumba na anataka Ishi na watoto, mpeeeeee .


Kwanza ukimpa, ukienda kutembelea watoto Lazima upelekeee moto maana mnakua marafiki.


ILA , USIRUHUSU NYUMBA ULOWAPA WATOTO WAKO, YEYE MWANAMKE AWALEE HUMO, ET SASA MKE NDO ALIWE HUMOHUMO .

NI DHARAU ZA KIWANGO CHA SGR.



[emoji117][emoji117][emoji117]WANAWAKE MJUE, KWENYE UNDUGU WA FAMILIA, MWANAMKE NA MWANAUME SIO NDUGU, YAAN WEWE MWANAMKE SIO NDUGU YANGU NDO MAANA UNAWEZA OMBA TALAKA, NDUGU NI WANANGU, NA KWAKUA WANANGU NI NDUGU, NYUMBA NATOA KWA NDUGU ZANGU AMBAO NI WATOTO


Wewe pia una ndugu zako, nenda wakuoe nyumba Yako wewe .


Nyumba ni ya watoto watapewa wakifika 18 y.o yeye aende kwake au kwao.
 
Yeye anasema wanaume wa kitanzania au wa kiafrika sawa. Hao wakizungu wanaoweza kufanya hui ujinga wako Nchi gani?
Huyu Dada ana mawazo mazuri lakini kwa hii ya leo amepotoka sana.
Anachukulia maisha poa sana.

Wanaume tunapata pesa na mali kwa hustle kubwa sana, zingine ni hatari kabisa ndio maana hatutakagi ujinga hata uende Marekani ni hivyo hivyo.
Alafu kirahisiiiiii , ageuze chozi, jasho na Damu lako, kama fursa ya Sasa kuanza kupelekewa moto huku anakula nakula pazuriii .


Kama anataka kupelekewa motooo, aendelee akapelekewe kwenye chumba Cha kupanga hukooo nankajamaa kake.
 
Back
Top Bottom