Wanaume wengi ni sumu katika mahusiano

Wanaume wengi ni sumu katika mahusiano

Saivi watu karibu wengi wamekuwa wabinafsi sana,

Ni wanaume wetu wana roho mbaya za kijinga na wachoyo na ubinafsi umewajaa
Huwa hawashimu hata wanawake walowazalia watoto wanaona kawaida kungekuwa na sheria kali wangejua hawajui
 
Na mwanamke unapoamua kuolewa au kuzaa,zaa watoto utakao wamudu kuwalea hata ndoa ikikushinda.Wanaume hawajawahi kupenda watoto...wao hupenda waonekane Wana watoto tu katika jamii Ila kuwajibika kuwalea ipasavyo ni wachache sana hufanya.Ivo ukijifanya unazaa watoto wengi Ili upendwe au ulinde ndoa u fail
 
Sasa humlali wewe na unamuita mkeo na bado ni kijana yaan ndo unataka aishije? Inamaana kukaa mwaka mzima bila kugusana ni wazi hakuna ukaribu kati yenu, unataka aendelee kukaa kwako km mkeo kisa nini? Nyumba unampokonya je watoto aliozaa wataishije? Ukichukua nyumba unamkomo yeye au unatesa watoto wako
Ukiachana na mimi acha mali yangu... Ondoka kama ulivyo kuja, ikiwezekana beba na watoto wako
 
Huwezi kuishi na mtu miaka mingi halaf aondoke patupu hakuna
Sawa shida huwa mnaletaga jeuri mkishapata mabahasha wengine ila sasa basi ukae kwa adabu. Umepata bwana nenda kaolewe ila usije ukamleta hapo kwangu. Hakikisha nae anakupangia nyumba unahama hapo. Sio kisa tumeachana uanze maisha na bahasha wako kwenye nyumba niliokupa mimi.

Ukichunguza kwa makini utagundua kuna mtu anam pressure huyo mwanamke aombe talaka fasta ili awe huru kuwa nae ikibidi amuoe. Sio rahisi mke kukosa uvumilivu ikiwa hamna mtu anayemtia nje ya ndoa.
 
Kaandikishwa kisheria ile nyumba na mwanamke hajataka kugawana mali zingine zozote kamuachia Yaan tuishi wote uniache bila kitu na watoto wangu na una wake wengi na watoto kibao
Mwanamke ana haki zake
Pita hapo ujue jinsi ya kupambania mgao wa mali za ndoa
 
Unaona Yaan aachike akae tu bila bwana wanaume wabinafsi nyie akili za wanaume wa Tz ni dume
Mwanamke ni binadam ana haki ya kuolewa akiachika
Sawa olewa ila usikae na bwana wako kwenye nyumba yangu. Akakujengee pengine huko ila usianze maisha na mtu mwengine kwenye boma la watoto wangu.
 
Sawa shida huwa mnaletaga jeuri mkishapata mabahasha wengine ila sasa basi ukae kwa adabu. Umepata bwana nenda kaolewe ila usije ukamleta hapo kwangu. Hakikisha nae anakupangia nyumba unahama hapo. Sio kisa tumeachana uanze maisha na bahasha wako kwenye nyumba niliokupa mimi.

Ukichunguza kwa makini utagundua kuna mtu anam pressure huyo mwanamke aombe talaka fasta ili awe huru kuwa nae ikibidi amuoe. Sio rahisi mke kukosa uvumilivu ikiwa hamna mtu anayemtia nje ya ndoa.
Huyu dada kaomba talaka muda mrefu sanaa hapewii mpaka kutoa hadharan ni amechoka sana ,mwaka hataki anataka awe chini yake kama mtumwa
 
Nimesikiliza mahojiano ya alokuwa mke wa Mwaka,kiukweli wanaume wa kitanzania waachane na habari za kuoa wake wengi hawawezi kabisa kuwamudu na kujimudu wao kiakili,mwanamke alikuwa mkeo kakuzalia watoto unataka wakaishi wapi ukiwanyang’anya nyumba,na nyumba ulimpatia hivi wanaume hamuwezi mpa kitu mwanamke kwa roho moja?

Mnataka ukimpa kitu muwe nae pamoja tu awe chini yako,kama hamuwezi muwe mnaacha kutoa maana ni wachoyo na mna roho ndogo na hamuwezi majukumu ya kulea mwanamke na watoto,wanaume wengi pia wapo kama Mwaka mkiachana anataka kukukomesha ujute kumfaham mtu akichoka mwache aende zake. Pia Jaribun kuwaheshim mama wa watoto wenu na kuwasitiri, vizazi vilivyopita viliwaharibu sana vijana wa kiume kwa kuwafundisha kuwa mwanamke hana thamani na kuwadidimiza wanawake.

Ukiangalia wanaume wengi huwa hawaheshimu wake zao ni wachache mno ila wengi wao wakatili,wenye roho mbaya wanaume wakiacha sawa ila wakiachwa wao kosa kubwa wanataka mwanamke aishi ndoa ambayo haifurahii ,mume anakaa mwaka mzima hagusi mke na umeoa wake wengi kisa kuonesha jamii we rijal hivi kwanin wanaume wengi wenye kasoro hujitutumua sana mbele ya jamii.MBADILIKE
Umelalamika zaidi badala ya kutoa mizania.
 
Huyu dada kaomba talaka muda mrefu sanaa hapewii mpaka kutoa hadharan ni amechoka sana ,mwaka hataki anataka awe chini yake kama mtumwa
Mwaka ameishika mpaka bakwata sio!!
 
1. MTU mkishaachana hawezi kuwa tena Mkeo.
Kuna kuachana official na ndani ya Ndoa.

2. Wanaume hatuwezi kuwa na ukarimu na upendo Kwa Mwanamke mwenye kiburi na Roho ya ushindani.

3. Hatuwezi kukuachia nyumba ikiwa tumeshaachana, kama nyumba umejenga mwenyewe Sawa.
Huyo atakayekuoa atakupatia nyumba.

4. Kuhusu watoto, hata Mama ni Watoto wake ni jukumu lake kuwatatutia pakuishi na kuwapa malezi, kama Mama hawezi awaache Watoto Kwa Baba yake. Sio unang'ang'a is Watoto alafu huna pakuwaweka wala kuwalisha

5. Kuoa Wake wengi ni sehemu ya asili ya mwanaume.

6. Tabia nyingi uzionazo Kwa wanaume zimerithishwa Kutoka Kwa Baba Yao Mkuu, MUNGU.
Hata Mungu ukitengana naye hakuna rangi utaacha kuiona, lazima akufukuze Edeni na adhabu zingine zifuate.

Mwisho, ukijiona huiwezi ndoa na huna uwezo wa kuvumilia ni Bora usiingie kabisa,
Pia uwe Makini kutafuta mwanaume mwenye Akili, upendo na hofu ya Mungu.
Hata hivyo hata huyo mwenye Akili, upendo na hofu ya Mungu ukimzingua hataacha kukusumbua kwani mwanaume ni mwanaume always.

Kingine, nawashauri wanaume Wasiwe na huruma na Wanawake Kwa sababu wao wanatafuta huruma kwetu Wakati hiyo huruma Hawana.
Wanawapenda upendo na kupendelea tuu.
 
Umeandika pumba tu je dr mwaka umemsikiliza ye kasemaje? Ndo tuhuma zenu mkiondoka kwa mwanaume madai ya nguvu za kiume huwa yapo. Kuoa tutaoa tu wenye akili timamu si wanaharakati na manungaiyembe kama wewe mnapenda dezo dezo tafuten vyenu uko dr mwaka si kichaa ana sbb za msingi n kwa vile hajasema why tu.
 
Kaandikishwa kisheria ile nyumba na mwanamke hajataka kugawana mali zingine zozote kamuachia Yaan tuishi wote uniache bila kitu na watoto wangu na una wake wengi na watoto kibao
Mwanamke ana haki zake
Yani kuishi na mimi siyo tiketi ya kupata kitu. Tafuta vya kwako uone kama nitaving'ang'ania
 
Nimesikiliza mahojiano ya alokuwa mke wa Mwaka,kiukweli wanaume wa kitanzania waachane na habari za kuoa wake wengi hawawezi kabisa kuwamudu na kujimudu wao kiakili,mwanamke alikuwa mkeo kakuzalia watoto unataka wakaishi wapi ukiwanyang’anya nyumba,na nyumba ulimpatia hivi wanaume hamuwezi mpa kitu mwanamke kwa roho moja?

Mnataka ukimpa kitu muwe nae pamoja tu awe chini yako,kama hamuwezi muwe mnaacha kutoa maana ni wachoyo na mna roho ndogo na hamuwezi majukumu ya kulea mwanamke na watoto,wanaume wengi pia wapo kama Mwaka mkiachana anataka kukukomesha ujute kumfaham mtu akichoka mwache aende zake. Pia Jaribun kuwaheshim mama wa watoto wenu na kuwasitiri, vizazi vilivyopita viliwaharibu sana vijana wa kiume kwa kuwafundisha kuwa mwanamke hana thamani na kuwadidimiza wanawake.

Ukiangalia wanaume wengi huwa hawaheshimu wake zao ni wachache mno ila wengi wao wakatili,wenye roho mbaya wanaume wakiacha sawa ila wakiachwa wao kosa kubwa wanataka mwanamke aishi ndoa ambayo haifurahii ,mume anakaa mwaka mzima hagusi mke na umeoa wake wengi kisa kuonesha jamii we rijal hivi kwanin wanaume wengi wenye kasoro hujitutumua sana mbele ya jamii.MBADILIKE
Ukifanya kosa wewe na nimekujengea mimi, utaondoka utaacha kila kitu na watoto wangu ntachukua, ambao watakaa kwenye hiyo nyumba, nowdays mna tabia mbaya na mnajificha kwenye umwanamke wa kuonewa huruma
 
Msioe kaeni na vitu vyenu

Sijasahau kuona mwanaume anayetaka kuoa, ninyi ndio mnaotaka kuolewa.
Wanaume wanachotaka Kwa Mwanamke sio Ndoa hiyo ipo hivyo tangu Duniani inaumbwa.

Vijana wengi wanaishi na Wanawake bila ndoa, Wanawake na Wazazi ndio wanawashinikiza Vijana waoe lakini Vijana huo Mpango Hawana.

Ukitaka uthibitishe kauli yangu, huyo kijana uliyenaye, wala usimtajie mambo ya Ndoa wala kumkumbusha uone kama hata atakumbuka kuwa kuna kitu kinaitwa Ndoa.

Ndoa Ipo kwaajili ya Mwanamke na sio mwanaume.
 
Back
Top Bottom