Wanaume wengi ni sumu katika mahusiano

Wanaume wengi ni sumu katika mahusiano

Mkuu, labda kama anachokihofia ni kwa sababu za kidini, kwamba atakuwa anazini kwa kuwa na jamaa kabla ya talaka. Ila kama ni kwa sababu za kisheria, adhabu atayopata muoaji mpya ni kulipa fidia kwa mume halali, ambapo mtu kama unampenda unaweza tu kufanya, kwamba nitamuoa na kulipa hiyo fidia kama jamaa atadai.

Nafikiri sababu hasa ni za kidini, ndio maana hata suala limechukua muda mrefu huko bakwata, wakati lingeenda baraza la kata tayari angekuwa ameshapata barua yake na kuingia mahakamani kuomba talaka. Nimewahi kuambiwa kuwa wanawake wa kiislamu hutishiwa kuvuliwa uislamu wao ikiwa watapeleka masuala ya ndoa nje ya bakatwa, kwa hiyo wengi huogopa hilo na kuendelea kusubiri process za bakatwa. Njia rahisi kabisa ilikuwa ni kwenda baraza la kata kwa ajili ya suluhu
Bakwata Ndio hiyo inazungusha mambo badala ya kusuluhisha
 
Bakwata Ndio hiyo inazungusha mambo badala ya kusuluhisha
Ndio maana nimeshauri angetemana nao hao bakwata aende baraza la kata walipofungia ndoa au anapoishi mwaka. Simple, mchezo unaisha
 
Jambo usirolijia ni km usiku wa giza
Na akugana ushaidi wa upande mmoja ndo maana ata mahakama zinataka pande mbili
Huwez sikiliza story ya upande mmoja ukapata majb sahihi nazan ungekaa kmy ukangoja series iendelee mwisho utajua series ilikua inalezea nn ila kutoa conclusion kwa kuangalia series 1 episode 1 utakua unakosea

Lakin pia akunaga kitu cha kupewa bila makubaliano nazan ungejalibu kujua kwann alimpa na sababu ya kumpa na kwann alimpa na kwann hajammilikisha iwe yake moja kwa moja
Mazn kuna makubaliano ndo maana akapewa na sio kumfanya mmiliki
 
Saivi mwanamke ashakuwa mjanja ana uwezo wa ku access kila sector ya utafutaji ndo maana wana hasira mtu wakiachana mwanaume ndo kutwa kubwabwaja km dem vile yaan vifua hawana sasa mwaka keshasahau km ni mwanaume na watoto kazaa na yule bibie akibaki hana nyumba watoto wanaishije
Inshu sio watoto, inshu n mama yao.
Watoto wabaki mama yao asepe
 
Mke ana haki ya kupata haki ya jasho lake alilochangia kwenye mali iliyopatikana wakati wa ndoa iwapo ndoa itavunjika kama inavyoelezwa katika kifungu cha 114.
Sheria ya ndoa ya kiislamu.Inatambua kuwa kila mtu yaani mke au mume,kwenye ndoa kila mtu ana Mali yake.Mwanamke hajakatazwa kuwa na Mali zake.
Hivyo basi Kwenye ndoa ya kiislamu,HAKUNA SWALA LA KUGAWANA MALI.
 
Ndio ulivyofundishwa kwenu
Siyo kwetu tu... Masomo yote sekondari na chuo mwanamke tuna msoma hivyo.
Na inajidhihirisha kwenye maisha halisi, tuna nunua mbunye ili zitufariji na kama sehemu ya starehe
 
Kaandikishwa kisheria ile nyumba na mwanamke hajataka kugawana mali zingine zozote kamuachia Yaan tuishi wote uniache bila kitu na watoto wangu na una wake wengi na watoto kibao
Mwanamke ana haki zake
Mwanamke Ana haki zake , vp kuhusu haki za mwanamume
 
Kama wanaume wengi ni sumu kwenye mahusiano unataka wanawake wahusiane na kiumbe gani tofuti na wanaume?[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Is your man men? Are we your man? Is your man us? Are we him? Is he we? Is he us all? Have you tried us all? Have you tried Rashidi, Joseph, Smith, Thomas, Jololo, Hamis, Matthew, Choja? Sister/Mother, leave us out of your misery brought to you by your boy coz not all men do that.

men.jpg
 
Is your man men? Are we your man? Is your man us? Are we him? Is he we? Is he us all? Have you tried us all? Have you tried Rashidi, Joseph, Smith, Thomas, Jololo, Hamis, Matthew, Choja? Sister/Mother, leave us out of your misery brought to you by your boy coz not all men do that.

View attachment 2581729
Case closed, keep us out of your misery 😂
 
Back
Top Bottom