Nikupe Nyumba, tuachane, uwe kama Zali, nyumba yangu, uiwe unaliwa humohumo na kajamaa.
ENYI KIZAZI CHA NYOKA, ZAMAN WANAWAKE WALIFUNZWA KUHESHIMU NDOA, YAAN KUITWA MKE WAMTU ILITOSHA KUA HESHIMA KUBWA.
kizazi Cha nyoka, sahizi mnawaza Ngono tu,umeolewa ,unawaza kupelekewa motooo tuuu kana kwamba Ndoa ni kitombo.
Kama umeolewa nmezaa, umeshakua mapungufu ya mwenzio, siuvumilie??.
Yaan kisa hakugongi, basi uvunje Ndoa, na utake akuachie Kila kitu??.
Huko unakoliwa kisawasawa, mwambie akujjengee nyumba, akupe mahitaji Kila kitu !!
WANAWAKE ACHENI UBINSAFSI , ACHENIIIU.
MUWENI KAMA WANAWAKE WA ZAMANI KUDADEKI !!!
niongezee spana au nipunguze??.