BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,343
Hakuna ukweli wowote aliouzungumza,,ana yake tu, vipi na mwaka umefatilia mahojiano yake lakini au umebase upande mmoja tu?
Saivi mwanamke ashakuwa mjanja ana uwezo wa ku access kila sector ya utafutaji ndo maana wana hasira mtu wakiachana mwanaume ndo kutwa kubwabwaja km dem vile yaan vifua hawana sasa mwaka keshasahau km ni mwanaume na watoto kazaa na yule bibie akibaki hana nyumba watoto wanaishijeSasa wanalo na hivi hilo lidada lizuriii weeee sasa hivii litaolewa
Sasa hako kapaja ka jamaa mtu anaeza pata stim kweli ama pesa itamsisimua😀😀😀😀
Sasa nguvu za kiume hana aengeze mke???Hasa wenye matatizo ya nguvu za kiume au maumbile madogo huwa wanajitutumua mno kutaka sifa
Sasa kama tumeachana ndio uolewe uende ukaishi kwa mumeo sio kwenye nyumba niliokupa mimi. Tatizo mnataka uanze maisha mengine kwenye nyumba ya watoto.Msioe kaeni na vitu vyenu
NimesomaSoma vizuri
Big YESSSS tena mwanaume ukikuta ana mapungufu ya hivo huwa anahangaika sana ili mwanamke na yeye ajihisi kuwa na mapungufu. Yaan ndo wale anakuwa na umalaya wa kumuoneshea mkewe akimtukana kabisa ona navopewa raha sio km wewe umekaa kaa tu hata hisia sipati, kumbe ni msongo wa mawazo umemzidi anamhamishia na mwenzieSasa nguvu za kiume aengeze mke???
Sidhani kama utafiti wako umeufanya ukajiridhisha.
Wanaume sio makatili sema hamjui kucheza na key. Hakuna mwanaume katili kwa mwanamke mnyenyekevu.Wanaume ni makatili by nature
Omba tu aku treat vizuri wewe
Mbunye tuWakati wewe mwanamke unaoewa nyumba wewe unampa nini mwanaume. Binafsi wanawake ambao hawana impact kwenye maisha yangu naona ni kama.blood succking vampires
Sasa humlali wewe na unamuita mkeo na bado ni kijana yaan ndo unataka aishije? Inamaana kukaa mwaka mzima bila kugusana ni wazi hakuna ukaribu kati yenu, unataka aendelee kukaa kwako km mkeo kisa nini? Nyumba unampokonya je watoto aliozaa wataishije? Ukichukua nyumba unamkomo yeye au unatesa watoto wakoNikupe Nyumba, tuachane, uwe kama Zali, nyumba yangu, uiwe unaliwa humohumo na kajamaa.
ENYI KIZAZI CHA NYOKA, ZAMAN WANAWAKE WALIFUNZWA KUHESHIMU NDOA, YAAN KUITWA MKE WAMTU ILITOSHA KUA HESHIMA KUBWA.
kizazi Cha nyoka, sahizi mnawaza Ngono tu,umeolewa ,unawaza kupelekewa motooo tuuu kana kwamba Ndoa ni kitombo.
Kama umeolewa nmezaa, umeshakua mapungufu ya mwenzio, siuvumilie??.
Yaan kisa hakugongi, basi uvunje Ndoa, na utake akuachie Kila kitu??.
Huko unakoliwa kisawasawa, mwambie akujjengee nyumba, akupe mahitaji Kila kitu !!
WANAWAKE ACHENI UBINSAFSI , ACHENIIIU.
MUWENI KAMA WANAWAKE WA ZAMANI KUDADEKI !!!
niongezee spana au nipunguze??.
Huwa unawajuaje wanaume wenye maumbile mafupiHasa wenye matatizo ya nguvu za kiume au maumbile madogo huwa wanajitutumua mno kutaka sifa