Wanaume wengi ni majanga........

Wanaume wengi ni majanga........

Ahahaha, weeh dada mbona mgomvi? Hawajatimiza ahadi? Mie namngojea Excel hapa ananipeleka brazil kuangalia world cup all possible matches kutegemeana na ratiba. Bata batani!

halafu husomeki kabisa siku hizi kumbe ahadi ya brazil inakuzingua....
 
Last edited by a moderator:
We regina waukweli ni mbabaishaji, kwani kuomba naamba ya simu ni kosa??? Halafu ukitongozwa ni lazima ukubali??? Halafu wanawake wa siku hizi wengi ndiyo ni vicheche sana.
 
Last edited by a moderator:
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

Penye red, kwani duniani huwa kuna nini zaidi ya watu tunaoongea nao. Animals do not talk, watu ndio huongea! Acha kuamini katika majini Regina, etc! Unaongea na mtu ila hujui tabia yake!
 
hehehe, mie nasomeka sana wewe nadhani unahitaji mawani.
nna hasira na wewe, si uliniambia utanipeleka sokon one nikatembee na kuangalia utalii? unapata dhambi ujue
halafu husomeki kabisa siku hizi kumbe ahadi ya brazil inakuzingua....
 
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

Regina wa ukwelinimekustukia. Kwanza unatongozwa na vibabu. hii ya pili kumbe kila unaekutana nae unampa no. ya simu. mbona topic zako zinahusiana na kugawa uroda tu ?
 
sio kila anayekutongoza anakutaka kweli wengine wanaongeza cv tu
 
Jiamini wewe mtoto wa kike au hujazoea kutongozwa na wenye simu? Kwanza unatokea kijiji gani?
 
............au unaogopa wanavyokuomba namba ya simu wanakuwa wanakuchoresha na kisimu chako cha tochi?
 
Regina hayo ndio mambo ya mujini. Kule kijijini kwenu sio kama hapa. Wazee hapa hakuna wote wameishia Chalinze. kutongozwa hapa sio mpaka mtu aje kwenu hata ndani ya daladala unatongozwa tu. Acha kuvaa mi kanga kiunoni. huku mujini kanga inawakati wake na kazi yake sio ka kule kwenu
 
Sasa tusipowaomba ninyi number tumuombe nani? Kwani ukiombwa number lazima utongozwe? Labda anataka kuhubiria neno je? Akuokoe... Kwahiyo tuwaombe number tukikutana mara ya ngapi?
 
Na kwanini huwe na wanaume wengi kama wewe mwenyewe sio majanga.....? Mtaua watu nyie wanawake na maradhi
 
Nilijua Mtoa mada ana jambo la msingi kumbe hopeless. Nilitegemea angelalamika kwa nini wanaume wanatoa pesa nyingi za matumizi kwa wake zao Kumbe sivyo, mtoa mada wewe ndo janga kuu la wazawa.
 
Siku iyoiyo ya kwanza mwanaume akipewa papuchi anazama chumvini hushangai hilo?
 
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

kuondoa usumbufu, na wewe usitoe namba ya simu
 
Akikuomba namba kuna shida gani kama mmekutana kwenye semina? Inawezekana anataka kutengeneza tu network na si lazima anakutaka.
Tena mtu akikutaka kimapenzi kwa njia ya simu ni rahisi kuonyesha msimamo kuliko mkiwa uso kwa uso.
 
Bado sijakuelewa kwa nini wanaume majanga na sio wanawake
 
Back
Top Bottom