Wanaume wengi ni majanga........

Wanaume wengi ni majanga........

Kweli inabidi wanaume mbadilike! Hivi unapokutana na mwanamke mzuri kapendeza unapata mawazo gani kichwani hadi kufikiria kumtongoza au hata kuomba namba? Hivi unafikiri yupoyupo tu hana mpenzi/boyfriend/mume? Wengine wanakutana na wanawake wastaarabu anaambiwa kabisa mi nina mume lakini waaapi! Hebu badilikeni wanaume mtakujaomba namba za majini afu chamoto mkione!

jini akijigeuza mwanamke lazima atakuwa ana shida na wanaume huyo.
 
Hivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

Tulia wewe, mkitongozwa mnalalamika na msipotongozwa safari kwa waganga haziishi, vipodozi vyote mtamaliza ili tu kuvuta attention zetu. Acha asili ichukue mkondo ninyi si hamuwezi tongoza dumez sasa tulia utongozwe na usije lalama hapa.
 
Sio ishu mhimu watu tunaumiza vichwa vyetu na utawala dhalimu wewe .unakuja naswala la kuombwa mamba ya cm.nihiari yako kumpa au kukataa
 
Hivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

itakuwa umelambwa na kutolewa matenga mambo y mjini bibie
 
ile ya kwanza uliiomba namba miaka 4 ndo nikakupa. endelea kunisololea mpaka 2017 ndo nitakupa. siku hizi nimezeeka nyodo zimepungua kidogo. twende kazi baba:eyebrows:
nimepoteza simu so namba yako siikumbuki embu nipe tena namba yako
 
Hivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

He! wewe bado uko analojia, siku hizi ni digitali mpenzi. Unatoa na wewe unapewa. Biashara ya kudanganyana ni ya kizamani. Kwani wewe unaishi mkoa gani.
 
Kuombwa namba limekuwa janga? Wewe hunijui ila mimi huenda siyo mara ya kwanza kukuona....... Sasa cha kufanya ni wewe tu kusema hunifahamu ili nikufahamishe. Utahisi tumeonana kwa mara ya kwanza ila mimi kwangu isiwe mara ya kwanza na kwakuwa nimevutiwa na wewe, inawezekana nikawa nimekuchunguza na kukufahamu kwa kiasi.

Leta sababu nyingine ya Wanaume kuwa majanga😉😎
 
ulitaka uombwe papuchi yako
Hivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
 
Hivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....

ukiombwa namba we toa, mengine yatakuja mbeleni.
 
hehehe, mie nasomeka sana wewe nadhani unahitaji mawani.
nna hasira na wewe, si uliniambia utanipeleka sokon one nikatembee na kuangalia utalii? unapata dhambi ujue

Namwogopa mjeda....
 
Back
Top Bottom