Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Nataka kujua itachukua miaaka mingapi kutoa neno sionitampa namba. afu akiongeza miaka mingine 3 huenda nikamuonyesha naniliu (sio kumuonjesha):nod:
Nataka kujua itachukua miaaka mingapi kutoa neno sionitampa namba. afu akiongeza miaka mingine 3 huenda nikamuonyesha naniliu (sio kumuonjesha):nod:
nitampa namba. afu akiongeza miaka mingine 3 huenda nikamuonyesha naniliu (sio kumuonjesha):nod:
Sa huo ndo mwanzo wa kujuana shosti au umesahau kuwa ni Urafiki, uchumba kisha ndoa.
Dont you believe in love at first sight??
Na wewe unayekubali kumpa namba una uhakika gani kama unayempa ni mtuHivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
Kuombwa namba limekuwa janga? Wewe hunijui ila mimi huenda siyo mara ya kwanza kukuona....... Sasa cha kufanya ni wewe tu kusema hunifahamu ili nikufahamishe. Utahisi tumeonana kwa mara ya kwanza ila mimi kwangu isiwe mara ya kwanza na kwakuwa nimevutiwa na wewe, inawezekana nikawa nimekuchunguza na kukufahamu kwa kiasi.
Leta sababu nyingine ya Wanaume kuwa majanga😉😎
Namba ya simu tu unatutuhum
Mndengereko ndio maana siku ile nilikuomba namba ukakataa eeeh???
Mkuu uko kipande ipi siku hizi?
wanaume huamini kabisa kuwa akipata namba tu TAYARI ANA POINT 3 ZA MEZANI.
wana tabia za kumbikumbi!!