The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,172
Namba ya simu tu unatutuhum
Hajakutana na mabazaz huku tunaomba papuchi siku hiyohiyo
Namba ya simu tu unatutuhum
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
Tungekua tunatongozana tunaojuana tu naamini hii nchi ingeongoza kwa ukabila na udini
Regina unafanya kazi bar?
Wewe binti ni mshamba sijapata kuona, nimekaa siti moja kwenye ndege na wewe kwa zaidi ya masaa 9 tunachart kuna ubaya gani nikikupa business card yangu na mwanamke akanipa business card yake siku hiyo hiyo?hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
Wewe binti ni mshamba sijapata kuona, nimekaa siti moja kwenye ndege na wewe kwa zaidi ya masaa 9 tunachart kuna ubaya gani nikikupa business card yangu na mwanamke akanipa business card yake siku hiyo hiyo?
Mnapoingia JF msiposti utumbo mkidhani kila mtu yuko salon anawaza ujinga tu.
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
kwenye basi bana, dar to chunya; huyohuyo baadaye kisimu chake kimeisha chaji anaanza kujisemesha "..halafu simu yangu imekata kabisa charge na mwenyeji sjui ntampataje" wakati njia nzima amechuna!
Siku iyoiyo ya kwanza mwanaume akipewa papuchi anazama chumvini hushangai hilo?
Sasa wewe ulitaka kuombwa mawasiliano lini? unadhani kila wakati mtaonana kama hutaki kutongozwa si ukatae kutoa simu au usitembee hakuna atakeye kuuliza wala kukusalimia.hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
hahaa hilo pozi baya sana ie unamchunia mtu halafu baadae ni huo huyo inabidi kumuomba
akusaidie katika jambo fulani
Jewajua????