Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,840
sa huo si ndio unakuwa mwanzo wa kujuana
Hata mi namshangaa, sijui huwa anadate na majiran tu,au maclassmate, wafanyakazi wenzie maana hao ndo wanafahaniana
sa huo si ndio unakuwa mwanzo wa kujuana
tatzo wengi wenu mnapenda kudanganywa, na ndio maana na sisi tunafanya hivyo.
Kweli inabidi wanaume mbadilike! Hivi unapokutana na mwanamke mzuri kapendeza unapata mawazo gani kichwani hadi kufikiria kumtongoza au hata kuomba namba? Hivi unafikiri yupoyupo tu hana mpenzi/boyfriend/mume? Wengine wanakutana na wanawake wastaarabu anaambiwa kabisa mi nina mume lakini waaapi! Hebu badilikeni wanaume mtakujaomba namba za majini afu chamoto mkione!
Hivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
Hivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
Hivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
Sa huo ndo mwanzo wa kujuana shosti au umesahau kuwa ni Urafiki, uchumba kisha ndoa.
Majanga hayaangalii jinsia!
vipi wanawake ambao akikamata namba yako tu keshakuzowe mesji mpaka usiku wa manane? hili siyo suala la wanawake badlikeni wala wanaume badlikeni, ni suala la mtu binafsi usijumuishe.
umbea tu! utasutwa na mdundiko, muone. afu nirudishie namba yangu ya simu, staki tena ur
afiki na wewe
Ni kweli tupu ndugu. Kuna Housemaid mmoja hapa mtaani kwetu kajaaliwa kijungu cha hatari kila mwanaume anayekutana naye anamuomba namba ya simu. Cha ajabu hata wababa ambao ukiwaona utadhani wana heshima zao wanamuomba namba. Na wote wanaomuomba namba lazima aje kuniambia. Hapo ndipo nilipo conclude kwamba asilimia 98 ya wanaume wote ni majanga kwelikweli!