Mshawa
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 787
- 325
No, I bed to differ. Kama Mungu alivyoumba wanawake tofauti, pia ameumba wanaume wenye matamanio tofauti.
Ndo maana utakuta kuna wanaume wakimuona demu huyo uliemtaja hata hawageuki. Wanataka kitu black and slim.
Just like women differ, so does the taste in men differ.
Aisee ngoja niendelee kupata ufahamu na uzoefu pengine nitakuja kuelewa....