Tyta huyu si ni taahira?
Kwangu huyu naona kama anaumwa ule ugonjwa wa madawa ya kichina.Kama hiki...
unafutia kwenye kalio la huyo dada
Kwani tumelazimishwa kutumia Kiingereza jamani eeehh!!
Hayo ni maoni yako...there is nothing wrong except typing error!
haaaaa? Hivi na wewe kumbe ni muhuni eeeeh! Ndio maneno gani sasa hayo?
Uliona wapi gari mpyaa ikaingia gereji ndani ya mwaka mmoja kila siku...hahahaha. fanya maintenance weweeee.
Uliona wapi gari mpyaa ikaingia gereji ndani ya mwaka mmoja kila siku...
Mamito nimekuuliza uliona wapi gari mpya ikaingia gereji ndani ya mwaka mmoja? Nimejipa jibu gani tenaumeshajipa jibu kwa hilo.