Wanaume wengi hutoa udenda hapa

Wanaume wengi hutoa udenda hapa

ndioyo nalianzisha mdendeko... ukitaka kumkiss demu wako mpaka mgusishane ulimi unamwambia twende tukadendeke

sasa je si umeona neno tukadendeke umelinyambua kutoka kwenye neno denda hiyo ni kauli ya kutendana.nashukurutumefikia hittimisho,nimelichukua
 
Nimekutafutaje mrembo wangu, JF ilituzingua kwa takribani siku mbili bhana. Wikiend ilikuwa safi sana.

Hiyo avatar yako mpya nimeipenda sana, kumbe wewe ni fundi makenika hongera!


hahahahaha. Pole kwa kuwa offline. Kwa kweli ilikuwa mateso.

Asante, leta chuma chako tukipe service.
 
ndio maana mzee majuto akatoa wimbo unaitwa inye ndembe ndembe, mfano mzuri tu ukitizama mchezo huo ndio utaona wanaume wanavyokodolea wanawake waliojaaliwa, mpaka mwalubadu anajuta kwanini katoka kwao pemba na kuja dar
 
Back
Top Bottom