GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Duh Shantel wanaume wembamba wanajua kutunza wanawake, wanawaoa wakiwa wembamba kuliko hiyo Avatar uliyoisema matunzo ndo yanawafanya wawe kama Mabroila lakini wanaume wanene wanajali zaidi matumbo yao. Wee Angalia tu hata kwa marais tuliowahi kuwa nao hapa Tanzania. Angalia rais mnene mkewe alikuwaje na rais mwembamba hali kadhalika, By the way umenichekesha leo.Habari wakuu, hivi mmenote wanaume wembamba sana wanapenda sana wanawake wanene?Yaaani utakuta kijana mwembambaaa mwanamke wake mnene kupita kiasi, hii inatokana na nini? kuna uwiano gani kati yao? Yaani kuna kaka mmoja mwembamba kama avatar ya fidel ila anapenda mizigo mikubwa ile mbaya, na sio huyo tu wengi nawaona mitaani mwanaume mwembamba mkewe kachana hatari, hii ndio kusema wembamba wanavutiwa na wanene au?