Wanaume wanataka nini?

Wanaume wanataka nini?

kuna wrong selections nying znafanywa kwenye mapenz. Tena nyngne mtu anafanya akijua kabisa kwamba anachagua mtu ambae si wa type yake lakn anashawishiwa na vitu kama pesa, u handsome, nk na anawaacha matches wake pemben matokeo yake ndo hvyo tena

Ni ngumu kueleza mkuu kilambalambila. Kwan patner hadi awe maskini? Anaweza akawa maskini jeuri au hamuendani ....ukampata mwenye pesa ambaye ni wako haswaaa....hayanaga fomular haya makitu
 
Last edited by a moderator:
Pole kwa maumivu

Hiyo sacrifice ndo inawaangusha na kujikuta kwenye 6*6..... this match its easy to play...... good women know a tricks to fit kwa relation yake

=Don't be a girl, be a woman you can't regret ever

I wud greatly appreciate it, if you could mention those few tricks. Kwa faida yangu na ya wengine.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ni ngumu kueleza mkuu kilambalambila. Kwan patner hadi awe maskini? Anaweza akawa maskini jeuri au hamuendani ....ukampata mwenye pesa ambaye ni wako haswaaa....hayanaga fomular haya makitu

basi tupigeni magoti tusali tumuombe Mungu yeye ndo anajua yote mkuu sisi tumeshashindwa
 
Last edited by a moderator:
Mi Na swali kwa mleta hoja:

Ivi unavyosema Mtu kujitoa unakua unamaanisha nini hasa?

Nisaidie Hilo Khantwe
 
Last edited by a moderator:
basi tupigeni magoti tusali tumuombe Mungu yeye ndo anajua yote mkuu sisi tumeshashindwa

Katika hili hata MUNGU hawezi jibu. Wewe unamuomba wakati macho umeyaelekeza kwa mtu flani, na mbaya zaidi mmeshavuliana nguo..! Huyo mungu hayupo, labda awe mungu wa kizazi kipya...!
 
Katika hili hata MUNGU hawezi jibu. Wewe unamuomba wakati macho umeyaelekeza kwa mtu flani, na mbaya zaidi mmeshavuliana nguo..! Huyo mungu hayupo, labda awe mungu wa kizazi kipya...!

Asanteee....na hiki kizazi tutabaki kulia na mahusiano kwa kuwa hatuwezi kusimama kwenye misingi ya Mungu.....
 
Mi Na swali kwa mleta hoja:

Ivi unavyosema Mtu kujitoa unakua unamaanisha nini hasa?

Nisaidie Hilo Khantwe

Ooh swty...kujitoa means unajiweka kwa mtu mazima....unakuwa tayari kusupress feelings zako zingine ili kudumisha mahusiano.
 
Last edited by a moderator:
Naogopa maumivu, sina kifua mie.

Hata ukijifanya kumsoma mtu hapa unaweza kupata maumivu maana unachokiona inawezekana ni contrary kabisa na maisha halisi ya mtu
 
Khantwe, Nina swali hapo;
..wewe binafsi yako unataka nini?
 
Last edited by a moderator:
Hata ukijifanya kumsoma mtu hapa unaweza kupata maumivu maana unachokiona inawezekana ni contrary kabisa na maisha halisi ya mtu

Ndo maana nasema, hupaswi kukurupuka, unamsoma mtu hapa, ukiridhika unaomba kumuona, then unapiga magoti ili MUNGU akuonyeshe kama ndo huyo. Tahadhari, epuka kumpangia MUNGU na usiwe ngono driven.
 
Ooh swty...kujitoa means unajiweka kwa mtu mazima....unakuwa tayari kusupress feelings zako zingine ili kudumisha mahusiano.



Ivi kuna Mtu anaweza kujitoa kwa Mtu mazima Na mwenzake asielewe Hilo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom