Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
- Thread starter
- #141
kuna wrong selections nying znafanywa kwenye mapenz. Tena nyngne mtu anafanya akijua kabisa kwamba anachagua mtu ambae si wa type yake lakn anashawishiwa na vitu kama pesa, u handsome, nk na anawaacha matches wake pemben matokeo yake ndo hvyo tena
Ni ngumu kueleza mkuu kilambalambila. Kwan patner hadi awe maskini? Anaweza akawa maskini jeuri au hamuendani ....ukampata mwenye pesa ambaye ni wako haswaaa....hayanaga fomular haya makitu
Last edited by a moderator: