Wanaume wanataka nini?

Wanaume wanataka nini?

Mimi nahitaji mtu anayejitambua kwanza kwamba yeye ni MWANAUME,mwenye promising future,mkweli na muwazi.....anajiheshimu na kuheshimu wengine

Subiri Yesu atakaporudi. Vinginevyo wahi kanisani ukawe mtawa....
 
Subiri Yesu atakaporudi. Vinginevyo wahi kanisani ukawe mtawa....



Asprin hawezi kwenda kanisani Au kusubiri mpk Massiah arudi, hizo sifa anazohitaji ktk MWANAUME, Mimi nimetimiza zote nakuzidi!

Khantwe luv u so much swty!
 
Last edited by a moderator:
Si kweli mkuu,, actually njia rahis ya kubuild trust kwa mwanaume ni kumkea kama ulivyoainisha,, atakuachia kila kitu hadi atm card,, huyo unaemzungumzia ww hajui anataka nn.. lkn dunia ya leo wanawake nao wanataka equal rights akipika leo, kesho zam ya mwanaume..mwanaume akikaa baa leo na yy anatak hivyohivyo,, hakuna trust wala love, ni kutii tu tamaa za mwili
 
Wanaume huishi maisha halisia . Nyie ni waongo wasiri, huku mnasachi walet huku mnawapanga wenzetu kama timu ya Ujerumani mkidhani upande wa pili hauji. Badilikeni kwanza.
 
ukiona unamfanyia kila kitu & things r nt working,jua huyo sio wako just end the relationship,kama u were meant 2 b together hata mapungufu yake hutayaona au utayaona ya kawaida,kila kitu utaona kiko perfect
 
ukiona unamfanyia kila kitu & things r nt working,jua huyo sio wako just end the relationship,kama u were meant 2 b together hata mapungufu yake hutayaona au utayaona ya kawaida & hatakufanyia vitu vya kukukera,kila kitu utaona kiko perfect
 
Asprin hawezi kwenda kanisani Au kusubiri mpk Massiah arudi, hizo sifa anazohitaji ktk MWANAUME, Mimi nimetimiza zote nakuzidi!
Khantwe luv u so much swty!

Thanx my husband....thanx for being mine. Luv u too
 
Last edited by a moderator:
Si kweli mkuu,, actually njia rahis ya kubuild trust kwa mwanaume ni kumkea kama ulivyoainisha,, atakuachia kila kitu hadi atm card,, huyo unaemzungumzia ww hajui anataka nn.. lkn dunia ya leo wanawake nao wanataka equal rights akipika leo, kesho zam ya mwanaume..mwanaume akikaa baa leo na yy anatak hivyohivyo,, hakuna trust wala love, ni kutii tu tamaa za mwili

Kuna watu hawana shukrani hata chembe believe me....
 
Habari za usiku huu great thinkers
Leo nimekuja niwaulize ninyi wenzetu wa upande wa pili..... Mnataka nini? Maana kila analofanya mwanamke ninyi mnakosoa tuu...hamnaga jema. Nitatoa mifano michache....

Mwanamke akiamua kujitoa kwako akawa anakupikia,anakufulia na kukufanyia usafi mwingine mnamnanga eti hajitambui.....atajitoaje hivyo kwa mtu hajamtolea mahari. Ikitokea mwanamke akawa kauzu akasema well sitafanya chochote hata ningekuja geto nikakuta hakujafanyiwa usafi,una njaa au una nguo za kufua najifanya sioni naondoka kama nlivyokuja....mnahamaki na kudai et sio waifu material....

Mfano mwingine ni kwamba mpo kwenye mahusiano....huyu bidada anaamua kukupa vyote....hadi vile vinavyowahusu wanandoa bila hiyana...inageuka kuwa sababu ya kumshusha na kumwona hana msimamo.. Ikitokea akabana mnahamaki...ooh unataka kumuuzia nani mbuzi kwenye gunia...
Mengine mtaongezea

Ushauri wangu kwa wanawake wenzangu....
My dia fanya kile moyo wako unapenda sio kufanya ili kuwapendeza hawa viumbe. Simamia kile unachokiamini na kama ukiamua kufanya jambo fanya kwa sababu unafurahia na sio kwa lengo la kum-impress mtu maana hata ikitokea ikawa ndivyo sivyo no regrets. Inaumiza sana kama ulikuwa unafanya jambo kwaajili ya kumfurahisha mtu na kumbe yeye anaitazama bidii yako in a negative way. Tulio wengi tuna imani zetu za kidini,wengine wana misimamo yao wao kama wao binafsi.....simamia hapo...
Ni hayo tu. Usiku mwema

Wanawake mnaoishi maisha mazuri ndo mnaolalamikia wanaume lakini wale wa uswazi wanajua wajibu wao na siyo kibri kama ninyi,
MWANAMKE unarudi kutoka kazini hata hakupokei misa eti amechoka, usiku unalala kwa kugeukia upande mwingine,
 
Wanawake mnaoishi maisha mazuri ndo mnaolalamikia wanaume lakini wale wa uswazi wanajua wajibu wao na siyo kibri kama ninyi,
MWANAMKE unarudi kutoka kazini hata hakupokei misa eti amechoka, usiku unalala kwa kugeukia upande mwingine,

Mimi wa uswazi sana tu mkuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom