Wanaume wanataka nini?

Wanaume wanataka nini?

Kiukweli wanaume walio wengi(si wote)hawabebeki.Hata ukimbeba na turubai atakukuruka ili atoe japo mguu sio siri hii inatukatisha tamaa sana
 
Hahahah...kazi mnayo jeiefu hapa lol

Siunajua wife material hapatikani baa wala disco....! So ukimpenda binti kabla hujaonyesha nia lazima uchunguze chunguze, kama ni mpenzi wa viwanja sana, jua hapo hamna kitu. Lazima nami nifanye kautafiti ktk majukwaa ya starehe ktk jiji hili la jf kabla sijaingia kichwa kichwa.
 
Kiukweli wanaume walio wengi(si wote)hawabebeki.Hata ukimbeba na turubai atakukuruka ili atoe japo mguu sio siri hii inatukatisha tamaa sana

Same applied kwa ke, hata ungelimfanyia nini bado atakutenda tu. Mimi yupo niliwahi msomesha college kabisa lakini mwishoni nikaambulia manyoya. Halafu baada ya mambo kumuendea kombo eti kaja kujiliza...! Kama siyo ujinga ni nini?
 
Mkuu mashimba1 siku zote mwamba ngoma huvutia kwake.Mi nimeongelea me cause nime expirience same to u.Back to the topic tunatakiwa sote kubadilika ili tusikatishane tamaa ktk mapenzi.si unajua ndo yana run dunia,ha ha haaa!
 
Habari za usiku huu great thinkers
Leo nimekuja niwaulize ninyi wenzetu wa upande wa pili..... Mnataka nini? Maana kila analofanya mwanamke ninyi mnakosoa tuu...hamnaga jema. Nitatoa mifano michache....

Mwanamke akiamua kujitoa kwako akawa anakupikia,anakufulia na kukufanyia usafi mwingine mnamnanga eti hajitambui.....atajitoaje hivyo kwa mtu hajamtolea mahari. Ikitokea mwanamke akawa kauzu akasema well sitafanya chochote hata ningekuja geto nikakuta hakujafanyiwa usafi,una njaa au una nguo za kufua najifanya sioni naondoka kama nlivyokuja....mnahamaki na kudai et sio waifu material....

Mfano mwingine ni kwamba mpo kwenye mahusiano....huyu bidada anaamua kukupa vyote....hadi vile vinavyowahusu wanandoa bila hiyana...inageuka kuwa sababu ya kumshusha na kumwona hana msimamo.. Ikitokea akabana mnahamaki...ooh unataka kumuuzia nani mbuzi kwenye gunia...
Mengine mtaongezea

Ushauri wangu kwa wanawake wenzangu....
My dia fanya kile moyo wako unapenda sio kufanya ili kuwapendeza hawa viumbe. Simamia kile unachokiamini na kama ukiamua kufanya jambo fanya kwa sababu unafurahia na sio kwa lengo la kum-impress mtu maana hata ikitokea ikawa ndivyo sivyo no regrets. Inaumiza sana kama ulikuwa unafanya jambo kwaajili ya kumfurahisha mtu na kumbe yeye anaitazama bidii yako in a negative way. Tulio wengi tuna imani zetu za kidini,wengine wana misimamo yao wao kama wao binafsi.....simamia hapo...
Ni hayo tu. Usiku mwema
Ulipata kuelewa wanaume wanatafuta nini kwa mwanamke?
 
Habari za usiku huu great thinkers
Leo nimekuja niwaulize ninyi wenzetu wa upande wa pili..... Mnataka nini? Maana kila analofanya mwanamke ninyi mnakosoa tuu...hamnaga jema. Nitatoa mifano michache....

Mwanamke akiamua kujitoa kwako akawa anakupikia,anakufulia na kukufanyia usafi mwingine mnamnanga eti hajitambui.....atajitoaje hivyo kwa mtu hajamtolea mahari. Ikitokea mwanamke akawa kauzu akasema well sitafanya chochote hata ningekuja geto nikakuta hakujafanyiwa usafi,una njaa au una nguo za kufua najifanya sioni naondoka kama nlivyokuja....mnahamaki na kudai et sio waifu material....

Mfano mwingine ni kwamba mpo kwenye mahusiano....huyu bidada anaamua kukupa vyote....hadi vile vinavyowahusu wanandoa bila hiyana...inageuka kuwa sababu ya kumshusha na kumwona hana msimamo.. Ikitokea akabana mnahamaki...ooh unataka kumuuzia nani mbuzi kwenye gunia...
Mengine mtaongezea

Ushauri wangu kwa wanawake wenzangu....
My dia fanya kile moyo wako unapenda sio kufanya ili kuwapendeza hawa viumbe. Simamia kile unachokiamini na kama ukiamua kufanya jambo fanya kwa sababu unafurahia na sio kwa lengo la kum-impress mtu maana hata ikitokea ikawa ndivyo sivyo no regrets. Inaumiza sana kama ulikuwa unafanya jambo kwaajili ya kumfurahisha mtu na kumbe yeye anaitazama bidii yako in a negative way. Tulio wengi tuna imani zetu za kidini,wengine wana misimamo yao wao kama wao binafsi.....simamia hapo...
Ni hayo tu. Usiku mwema

Hahahahahah dah maisha is funny
 
Ukipendwa unapopendwa ,hutojuta wala kuumia, omba Mungu mimi mwanamke anayejitoa kwa ajili yangu siwezi mtenda baya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom