Wanaume wanataka nini?

Wanaume wanataka nini?

Sio hatujiamini ndugu......huwa tuna-sacrifice mambo mengi kwaajili ya mapenzi ila ndo hivyo tunaambulia maumivu

Pole kwa maumivu

Hiyo sacrifice ndo inawaangusha na kujikuta kwenye 6*6..... this match its easy to play...... good women know a tricks to fit kwa relation yake

=Don't be a girl, be a woman you can't regret ever
 
Pole kwa maumivu

Hiyo sacrifice ndo inawaangusha na kujikuta kwenye 6*6..... this match its easy to play...... good women know a tricks to fit kwa relation yake

=Don't be a girl, be a woman you can't regret ever

Aisee....ntarudia tena kusoma kesho ili nikuelewe
 
Sio hatujiamini ndugu......huwa tuna-sacrifice mambo mengi kwaajili ya mapenzi ila ndo hivyo tunaambulia maumivu

Nafikiri wewe ni mmoja kat ya mabinti 100 Khantwe. Siki kila upande kuna matapeli, fikiria kijsna wa watu anajituma kuhufumia msichana wake, atlast anagundua wako zaidi ya mmoja? Sometimes meanamke kufanya hayo yote uliyolist ktk post yako haimaanishi kwamba unakupenda, Mara nyingi ni kwa sababu kuna vitu ahahitaji kwa huyo mwanaume na akishapata hutomuona tena. So, kabla hamjalalamika, jichunguzeni kwanza mjue wapi mnakosea. Lakini nasikitika kusema kwamba, hilo hsliwezi kutokea ktk huu ulimwengu tunaoishi, sana sana khali itazidi kuwa mbaya kila uchao.
 
Last edited by a moderator:
kuna wrong selections nying znafanywa kwenye mapenz. Tena nyngne mtu anafanya akijua kabisa kwamba anachagua mtu ambae si wa type yake lakn anashawishiwa na vitu kama pesa, u handsome, nk na anawaacha matches wake pemben matokeo yake ndo hvyo tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom